Alikiba yuko wapi

Mkuu umepanik? Huna kipaji baki kumshangilia tu aliyepewa na Mungu kapewa tu?? Unamkubali kiaina mpaka umemfollow Insta????

haaaa kumbe muda wote unadhani me namchukia kiba???? nope!! ila nachukia misifa ya kijinga mnayompa,ni kweli kabisa KIJANA ANASAUTI NZURI, ANAKIPAJI TENA SANA kinachoniboa mimi na ndio naama namcriticize hapa kabweteka, he is not practical, he is not creative alafu mnatulazima kumsifia tu hivyo hivyo.
Kiba nyakati hizi na ukongwe wake alipaswa awe anapasua anga huko mbele huko, alitakiwa awe kwenye manomination kibao, alitakiwa atoe upinzani wa nje huko, ndio maana ya kukuwa kisanii,

sasa mtu kadumaa nyimbo kibao katoa hatoboi mbele, mkiambiwa huyu mtu kadumaa anahitaji catalist akue mnatukana, mnaona tuna chuki.
Na kila ajiitae team kiba humsifia hivi;
1. kiba ana sauti nzuri
2. kiba anakipaji
3. kiba hana scandal
4. kiba sio mtu wa kujishow

Okey then if this is all u need from him, am done NO MORE COMMENTS.
 
Heee mama lini Ali Kiba alipiga magoti?na alimpigia nani?unamdanganya nani hapa ambaye hajamfollow OfficialAliKiba Instagram???
Umbea wako umevuka mipaka,hii ni chuki sasa...

we umeitafsiri kupiga magoti kwenye ardhi? hapana mamii. kiba anahitaji support ili asonge mbele na mimi msaada nilioamua kumpa ni KUMKOSOA sasa wewe msifie alafu tuone ni msaada upi utakao msaidia zaidi.#ndukiiiiiiiiiiii
 

Nikikwambia umepaniki unabisha. Mtu katoa singo mwezi mmoja unataka awe nominated kimataifa mkuu IQ yako nina mashaka nayo...au hujitambui. Kiba muacheni jamani kukaa miaka miwili na kurudi no.1 tu hiyo inatosha kusema kiba ni definition ya bongo fleva... He's back muwacheni aje bila papara
 
alafu ujinga wenu mmoja mnadhani kumpenda mtu ni kumsifia tuuuuuuu hata kama anaboronga, criticism hutoa watu wenye mapenzi ya dhati, na kwa wanaojielewa hukubali kukosolewa.

Mawazo ya watu una mandate gani ya kuita ujinga??Kubali kupokea anykind of comment coz umeanzisha thread ili watu waone na ikiwezekana kujibu basi ijibiwe
 

hypocrisy,unafiki.unazungukazunguka mara ukubali ana kipaji mara useme tumzushie hata kama za uongo(that means kuna wasanii wanazushiwa za uongo makusudi ili wasipotee kwenye ramani,so unataka na kiba azushiwe pia)mara useme unataka kumkosoa,whats what dadangu??
Hata mwezi bado nyimbo imetoka lini??na leo ni lini??kama mwezi bado come get a car right now!!
Unataka aongelewe aseme nini,(kiba anaenda kuoga??kiba anakata gogo??amenunua gari jipya??amesafiri kwenda nje ya nchi??)je safari zake zote za nje ya nchi wewe unazijua ama zinatangazwaga??
Okay umesema ana kipaji so unataka
Stop being a hypocrite and think and reason before you say something!
Tunamdrop down kivipi,na azushiwe habari za uongo ili iwe nini??
BTW sio Term ni Team,sidhani kama writing pad ya simu yoyote R na A zinakaribiana kihivyo labda uwe unatumia PC
 

wapenda majungu tu hao
 

Ally Kiba trh 5/10 atakuwa katika tamasha la Fiesta litakalofanyika Jamhuri Stadium mjini Dodoma.

NOTE: Huu ni uwanja mkubwa sana wa mpira tofauti vile visebule au vipub vya Europe.
 

asante kwa imla, unaona sasa mara mbili tu hivi kwa wiki inatosha, promo iendelee!
 
alafu ujinga wenu mmoja mnadhani kumpenda mtu ni kumsifia tuuuuuuu hata kama anaboronga, criticism hutoa watu wenye mapenzi ya dhati, na kwa wanaojielewa hukubali kukosolewa.
Kiba kaboronga wapi? Am interest to know!
 

Unajua Kiba mbali na kuwa mwanamuziki ni mfanyabiashara. Na ndio maana alimudu kukaa miaka mitatu na nusu nje ya muziki na maisha yakaendelea. Isitoshe, nimesikia alikuwa akishughulikia kufanya video ya Mwana, ambayo nadhani itatoka mwezi Novemba.
Na kama umefuatilia, Diamond naye anataka kuachia nyimbo mbili katika mwezi huo huo wa Novemba kwa ajili ya kujaribu kupoza makali ya Mwana. Kumbuka ilikuwa hivyo wakati Mwana (Audio) inataka kutoka, Diamond aliachia Mdogomdogo na Bum Bum kwa mpigo.
Ova
 
asee tatizo watu hamtaki kukubali kuwa ali kiba amekutwa na akapitwa asee , ali kiba hata kuvuma kwake huu mwezi mmoja kumetegemea sana kick ya diamond ila alivyopotezewa naona mmeiona size yake
 

si unaona sasa bila diamond kiba haongeleki popote, at least u have admitted alipo kiba dai akiibuka kiba anazima kwahiyo if at all nyimbo za kiba zingekuwa na huo ubora mnaoupigia mavuvuzela inakuwaje sasa mdogomdogo umzime mwana. kiba anakomaa na uwezo wake wa zamani, anashindwa kubadilika kuendana na nyakati
 

Hivi mdogo mdogo nayo ni nyimbo?
Sema tu Diamond vile tayari ana jina na kashajijengea security ya mashabiki.

Ninachomkubali Diamond ni mshenzi kwenye shooting, hazembei haaaata. Mimi bila ile shooting nisingejua kama kuna neno kitorondo kwenye hiyo single ya mdogo mdogo maana audio yake hainipi radha kabisa.

Same to MY NUMBER ONE ile shooting pia haikuwa ya kizembe na ndo iliyozima tetesi zote za Dai kuiba hiyo nyimbo kwa Daina na kuwa replaced by the terms as to wivu tu vile watu wanaona Dai anazidi kupiga hatua!
 

Point taken binti kitorondo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…