Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
- Thread starter
- #101
na wewe umeliona... mi mara ya kwanza nilipoona term nilijua ni typing error, oooh nikaiona term kwa mara ya pili, mara chambani, mara arakeli, lol
that all u can comment??? sasa nikupe kazi naona utaiweza, uwe unapitia post zangu uniambie nilipochapia. malipo ni muda wako.