Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Niliwasikia Mwaka 1995, niliwafuatilia rasmi kuanzia mwaka 2007 kupitia magazeti ya Rai yenye kichwa cha Habari ifahamu freemanson na mkakati wa kutawala dunia..Mkuu kwa mambo unayoongea hapa nina mashaka hata kama uelewa wako juu ya freemasons ni wa uhakika.
Watu wengi wanadhani freemasons sawa na kwenda kwa mganga wa kienyeji, magazeti ya shigongo yamepotosha jamii sana.
Hawa freemasons nimeanza wasoma way back 2003 hata tz hawajawa famous.
Diamond aliomba msamaha tena wa kiutani utani kwenye ukurasa wake wa insta, Ngwajima akaja sema ana video zake diamond akamjibu kuwa kama anazo azipost asipozipost basi atakuwa mchungaji muongo.
Usiamini kila umachoskia Ngwajima alishawambia watu atamrudisha Amina na wakaamini je alirudi?
Pia internet na vitabu vyao og vya siri hard copy. Havitolewi hadharani.
Internet Ina mchanganyiko WA conspiracy and bunches of lias. Unaweza kudanganyika sana.
Anyway sio lengo langu kujitutumua hapa.
Najua wengi ukisema masoni wanawaza kupata pesa na kutajirika. There is a price to pay. Hata wao wanaonya usiende kujiunga ukitaka kupata pesa.
Cha msingi Pesa zote za mazingaombwe, hupewi bila kua na source of finance. Lazima uwe na mradi unaoonyesha kua ndio chanzo cha kipato chako. Kupitia mradi, ndipo utakaotumika Kama chanzo cha Pesa na utajiri.
Utaonekana unafanya kazi Kama wengine lakini tofauti yako na wengine, wewe utafanikiwa kuliko wengine. Kwasababu wanachama wanatakiwa kua WA siri(secret society). Ila kwasababu mbalimbali wanajikuta wakifahamika waziwazi. Mwishowe Wanabaki Kua branded as society with secrets.
Mondi alimuomba gwaji msamaha kwa kumtaja.
Gwaji akasema amemsamehe.
Na kwamba hatasema tena jinsi Dai alivyojiunga na masonic.
Dai akawajibu mashabiki zake kua wamwambie alete huo ushahidi(NotaBene:-,hakumwambia Gwaji directly) Bali Dai aliposti kwa mashabiki na Critics wa wake.
Na hapa Gwaji hakujibu tena. Which means haimuhusu.
Kwasababu Gwaji alikua anasubiri aambiwe direct ili abonyeze kitufe cha double manifestation. It didn't happen anyway.
Probability.
Kama Dai aliwasiliana tena kwa siri na Gwaji na ku-apologize, no one really knows.anything is possible.
Lakini Critics walipaswa kuhamia tena kwa Gwaji kwenda kumuambia kile Dai anakijibu kuhusu yeye Gwaji kwamba hawezi kutaja
Lakini haikutokea.
Kuhusu Eric shigongo.
Mimi sio fan wa huyu MTU wakati wowote ule katika maisha yangu Lakini namheshimu sana kupitia sifa nzuri nilizowahi kuzisikia kuhusu kazi zake za utunzi wa hadithi za novels, japo sijawahi kusoma hadithi yake yoyote ile. Na muda unavyoyoyoma sioti kuja kusoma chochote tena.
Nina uhakika haujamtaja bure, kuna kitu kuhusu yeye unakikubali. Lakini siwezi kuonyesha kumdharau kwasababu hajanikosea. Kwangu Mimi , he's a working hard person.