kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Panic at your own risk....ujumbe ushafika usimfananishe domo na vitu za ajabu.Au wewe unamaanisha lile banda la popo Madale, watu na nyumba zao hawachongi
hivi sauti soul ft alikiba ile ngoma yao yenye zaidi ya mwaka sasa in viewers ngapi?We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.
Mosi, capital letter means shouting, so stop shouting for no reason!KIBA SI KAWEKA RECORD SIO CHINI YA MBILI 1. KUWA NA VIEWERS WENGI NDANI YA MUDA MFUPI, PILI VIDEO YA AFRIKA MASHARIKI ILIYOPATA VIEWERS WENGI MSANII AKIWA PEKE YAKE(SOLO). MAMBO MENGINE NI KAMA IFUATAVYO KATIKA UWEKEZAJI KAMA TUNAPEWA VITABU VYAO NADHANI ALI KIBA ANA INVEST KIDOGO ANAVUNA KIKUBWA. DIAMOND ANA INVEST NYINGI ANAVUNA NYINGI LAKINI KASI NI NDOGO. SIDHANI KAMA GHARAMA ZA VIDEO FIRE, ENEKA,HISTORY ZIMESHARUDI NA SASA HALELUJAH. THATS WHY UNAMWONA SANA DIAMOND KATIKA MEDIA KULIKO ALI CUZ WANATOFAUTIANA NAMNA YA UWEKEZAJI,
Kwahiyo kama kuna Neyo ndo Views hawawezi kununuliwa?! Nyie jamaa mna viroja!!!We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.
Akikujibu nitagKwahiyo kama kuna Neyo ndo Views hawawezi kununuliwa?! Nyie jamaa mna viroja!!!
Kwamba eti wamekuja kuwaangalia Morgan Heritage ni kiroja cha mashabiki wa Kiba kinachotokana na kutofahamu muziki wala kuchambua mambo kwa kutumia akili za kawaida!!
Ngoma ya Hallelujah imebamba kupitia social networks kwa maana, wanaotumia social networks ndio wa kwanza kufahamu. Aidha, wakati Diamond Platnumz ana Followers 4Million (Plus), Morgan Heritage wana followers chini ya laki na nusu!!!
Kwahiyo unaaamini kabisa hao views wanatoka kwa Morgan Heritage wenye followers wasiofika hata laki 2?! Wamepata wapi taarifa za kwamba Morgan Heritage ameshirikishwa ngoma?
Angalia posts za nyuma za Morgan Heritage! Comments hazifiki hata 50 lakini zilizohusu ngoma ya Diamond ndio zenye comments nying
But even more important, mwaka jana Morgan Heritage walichukua Grammy Awards kupitia Reggae na ngoma yao ambayo ilibeba album ni Wanna Be Loved!
Hiyo ngoma hata Views laki moja haijafika!!!!
Subscribers hawajafika hata elfu 10!!!
Moja ya ngoma zao zingine zilizofanya vizuri ni Selah lakini na yenyewe hata views 1M haijafika!!
Reggae Night ni 2017 hit na hadi sasa ina views chini ya laki moka ingawaje ni ya tangu January!
Perfect Love Song ya mwaka 2013 nadhani ndiyo yenye Views wengi zaidi lakini na yenyewe hata Views 3Million haijafika!
Sasa hao mashabiki wa Morgan Heritage waliojaza Views kwenye Hallelujah how come washobokee ngoma walizoshirikishwa badala ya ngoma walizofanya wenyewe?!
Kwani hawafahamu kwamba hata akitoa as solo bado anawakimbiza!!!Unafikiri watakuelewa basi.....wameng'ang'ania vevo, vevo, huku wakisahau kuwa vevo ipo ndani ya YouTube yaani bila YouTube huwezi ku access vevo. Na mond atakuja awafunge midomo siku akiachia ngoma yake mwenyewe as solo artist na kuvunja rekodi yake aliyoiweka kwny hallelujah.
Shikamoo Kaka mkubwa! Manake pale ilikuwa ndo pa kuitia adabu Seduce Me!!Yaani mtu mzima kabisa unashikwa akili na Mange na unashindwa kufikiria kabisa, Seduce me imetoka na matangazo na promotion kila kona na ikawa na trend kubwa sana, kisha kukawa na Zilipendwa ya WBC ambayo haikuwa na promotion yoyote na ikawa inapanda yenyewe polepole, swali la kujiuliza kwa nini Diamond hakununua viewer ili haishinde Seduce me?, yaani uwezo wa kununua viewer anao lakini akakubali seduce me iwe na viewer wengi, leo katoa Hallelujah ambayo haina mpinzani sokoni ndio ananunua viewer?
Mange ana wivu wake Binafsi na chuki kali sana kwa diamond, so usiingie kwenye mkumbo kwa vitu vya kijinga
Na kamwe hatajibu!! Sio kwamba ana kiburi ndio maana hatajibu bali hana ubavu wa kujibu hoja anazopewa!!Huyu jamaa mara ya kwanza alijificha kwenye kichaka cha dini; kwamba Diamond anadhalilisha Ukristo!!! Nikadhani ni kweli mkereketwa wa dini yake na hivyo hakupendezewa matumizi ya neno Hallelujah!! Lakini baadae nikagundua kumbe ni Team Kiba aliyejificha kwenye kichaka cha dini!!!Akikujibu nitag
Kapokee book 7 yako kwa domo maana sio kwa kuingia chaka huku. Yaani wewe ni chaka la shamba, hakuna unachokijua chochote kwenye ulimwengu wa hacking zaidi ya kupigiwa theoretical stories.We jamaa ndo unaonekana hujui lolote kuhusu Vevo na Youtube!! Yaani kwako wewe Vevo ndo hospitali ya Rufaa na Youtube ni Zahanati?
Btw, hivi kabisa unaamini kwamba unaweza kununua views Youtube ukabaki salama?! Hivi unafahamu Youtube ni ya Google na wana mifumo nyoko ya ku-track suspicious activities kwenye youtube accounts pamoja na blogs zinazotumia Google Adsense?!
Wewe nadhani ni wale wanaoamini kila kinachosemwa na Mange ambae kutokana na umbumbu wake anawaambia watu wamripoti Diamond Youtube eti kwamba ananunua views.
Kwa mtu anayeelewa pale ndo amemuona ni ju'ha asiyefahamu chochote kuhusu Youtube cuz' Youtube au Google hawana sababu ya kusubiri mtu atoe taaarifa kwao wakati tayari wana mfumo unaofanya hiyo kazi.
Views 2M kwa siku moja hapo bots za Google zimeshatembelea sana ile video na kama kungekuwa na fake views hivi sasa account ama ingekuwa ishakuwa blocked au ku-fyekwa fake views wote!!!
Halafu haya mambo ya eti VEVO na Youtube mnajitia aibu manake mnaonekana hamfahamu chochote kuhusu hiyo VEVO !!
Tanzania huweziku-access Vevo unless kama unatumia VPN! The so called Vevo account are just mirror account iliyopo Youtube na ndio maana hata mtu wa Nanjilinji anaweza ku-access.
Vile vile nawe unaonekana hujui lolote kuhusu Youtube ndo maana umefikia kusema msanii analipwa kutokana na views anaopata! Huo ni uongo mtupu na ndio maana umefikia kuamini hayo mengine!!!
Sababu kubwa ya kuasisi Vevo wala haina uhusiano na Views au kununua bali UMG & Sony walianzisha VEVO kwa ajili ya wasanii wao kwa kile kilichoonekana issue za hatimiliki kwa Youtube ni kimeo!!
But all in all, Diamond alitumia Vevo Account mara moja na hapa chini ndo stats za hiyo account!
View attachment 599452
Kama unavyoona, Marry Me ina Views 16.5M lakini muhimu zaidi, ingawaje hiyo akaunti kaitumia mara moja tu lakini ina Subscribers 77K.
Kinyume chake, Kiba ametumia Vevo mara mbili lakini ndo kwanza ana subscribers 75K
View attachment 599458
Sasa kama unaamini Kiba anaburuzwa kwa sababu yeye anatumia Vevo na Diamond anatumia Youtube basi unatakiwa kutafakari upya jinsi unavyoyaelewa haya mambo!!!!
FYI, pasipo na Youtube VEVO is nothing na ingekimbiwa na watu at least for now! Ingekimbiwa kwa sababu sehemu nyingi Vevo haipatikani na ndio maana wanatumia mirror account through Youtube channel!
Basi zako zimeshikwa na domoMange anawaharibu sana akili.
Mwambie Mond "AJE" pekee yake VEVO asije na collabo/featuring.mmmmh aiseee kweli mfa maji haishi kutapatapa Kama alikiba na vevo yake ivi mkuu ebu badilika hao VEVO wanamlipa mtu sasa Kama alikiba analipwa ila kwa diamond hajathubutu unahisi mond akiingia vevo kiba ataonekana kweli??kumbe unaangalia views??kumbuka hata kwenye mikutano ya kisiasa wanaokuja pale sio kwamba wote ni watu wako wengine wanakusikiliza na kukucheka tu!!,
Mkuu akuna superstar asie julikana vitu alivyonavyo, ata ukificha watu watajua tu...........Sasa kama ni hivyo usiseme Domo tajiri kuliko Alikiba coz kama ni nyumba hata huyo Kiba anazo, kama ni magari hata Alikiba anayo. Tofauti ni kwamba mmoja anapenda masifa kutangaza, na mwingine hajitangazi
Huyo ni Neyo.marry you IPO vevo ina 16M ila Kimba ana video mbili ukijumlisha hafkii 10M
Unafawa Mali za mastàa wangapi hadi unatoa hitimisho hilo.We futwatilia mziki wake mengiñe sio type yakeMkuu akuna superstar asie julikana vitu alivyonavyo, ata ukificha watu watajua tu...........
Wanashikiliwa akili hata kufikiri outside of the box inashindikana
Historia insema, Mwanaume mmoja (Alikiba ~ Seduce me) mwenye nywele fupi aliwapasua vichwa wanaume 6 (domo band) wenye Afro zao.Yaani mtu mzima kabisa unashikwa akili na Mange na unashindwa kufikiria kabisa, Seduce me imetoka na matangazo na promotion kila kona na ikawa na trend kubwa sana, kisha kukawa na Zilipendwa ya WBC ambayo haikuwa na promotion yoyote na ikawa inapanda yenyewe polepole, swali la kujiuliza kwa nini Diamond hakununua viewer ili haishinde Seduce me?, yaani uwezo wa kununua viewer anao lakini akakubali seduce me iwe na viewer wengi, leo katoa Hallelujah ambayo haina mpinzani sokoni ndio ananunua viewer?
Mange ana wivu wake Binafsi na chuki kali sana kwa diamond, so usiingie kwenye mkumbo kwa vitu vya kijinga
Kiba afanyi collabo coz anaweza umbuka mkuu mond anajiamini ndo maana anatuwakilisha vizuri wewe kaa hapo usubiri mond aje vevo utazeeka!!!!Mwambie Mond "AJE" pekee yake VEVO asije na collabo/featuring.