ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,874
- Thread starter
-
- #101
Ni aibu kuomba lift (domo collabo/feat.) halafu unashangilia kumpita anayeendesha gari yake mwenyewe (Alikiba ~Seduce me)Tuachane na viewz vipi kuhusu subscribers.....maana na zenyewe kapitwa japo mond hayupo active sana na vevo.
Hivi number one remix haikufanyika kwa kuomba lift ya Davido eeh? Hivi kutengeneza ma skendo ya wanawale mtandaoni ndio promo ya domo eeh?Mosi, capital letter means shouting, so stop shouting for no reason!
Pili, mashabiki wa Kiba kwavile hamna rekodi ndo mmebaki kujitengenezea rekodi wenyewe! Mara oh, ndie mwenye views wengi Vevo, mara oh, video zake ziko hivi mara vile!
Eti video ya msanii wa Afrika Mashariki iliyopata views nyingi akiwa peke yake! Hakuna chart kama hiyo duniani! Narudia, duniani hakuna chart wala tuzo ya mtu aliyefanya kazi peke yake kwahiyo acheni viroja!!
Tatu, kwamba eti huyu ana-invest nyingi na yule ana-invest kidogo ni kigezo kingine cha hovyo cha Team Kiba kwa kudhani views nyingi za Diamond zinatokana na video zenye gharama!!!
And trust me, hizo video za Kiba unazodhani sio za gharama sana basi kwenye vitabu usishangae ukakuta ndio very expensive kuliko video za Diamond! The reason ni kwamba, kazi za Kiba zinapitia kwenye official documentation za Sony! Unaweza kukuta script imeandikwa na mtu mwingine na hapo charge yake itakuwa mara 10 ya scripts za Diamond zinazoandikwa kisela tu!
Hata kama ameandika mwenyewe, unaweza kukuta inapitishwa kuwa polished! Hiyo gharama ya ku-polish peke yake inaweza kuwa mara mbili ya original script za akina Diamond!
Make Up Artist atakuwa ni yule very official na ma-invoice kibao wakati Diamond kazi zake hazina hayo maujinga! Na Label kubwa wanafanya hivyo makusudi ili kupunguza mapato ya msanii na ndio maana wasanii wengi chini ya label huwa wanalalamikia!
So man, don't talk about costs kwa sababu unaonekana hujui how these things work!
Diamond anasikika sana kwenye media sio kwa sababu eti anatengeneza video za gharama bali anajiamini! Haogopi kutoa ngoma! Mashabiki wa Kiba mnajidanganya kwamba ngoma za Kiba zinaishi kumbe ukweli ni kwamba hajiamini! Alipotoa Aje akabaki kuitengenezea remix tu kwa sababu hakuwa na uhakika wa kutoa ngoma ya kuifunika Aje and of course, hata hii Seduce Me ni full promo lakini haifiki hata nusu ya Aje!!
Diamond haogopi kwamba ngoma itafanya vizuru au hapana! So long ana track, ata-release tu kwa sababu that's how wasanii wanaojiamini ndicho wanachofanya!
Hata Dogo Slay anapiga weka bandua far away from Kiba! Mwaka huu peke yake ameachia ngoma tatu au nne! Unataka kusema Dogo Aslay anawekeza kuliko Kiba?!
Baada ya Dogo Aslay kuachia ngoma mfululizo, mwana Yamoto mwenzake Beka Flavor akasema wazi kwamba Aslay akiendelea na hii tabia na yeye ataanza kuachia ngoma bila kujali ikiwa Aslay ametoa ili wakutane huko huko! Baada ya hiyo kauli, haikupita wiki Dogo Aslay akaachia ngoma nyingine kuonesha haogopi ushindani!!!
Ali Kiba hana gut ya aina hiyo!
Kama pesa haijakuzoea ukiipata unakuwa na tabia za domo.Watoto wa k/koo wengi walikimbia shule akiadithiwa kitu kwny kijiwe hapo livingstone anakuja kuandika jf hajui humu wenzie wanajua vzr
Ndio maana sisi tunajua alichonacho Alikiba, sio yule anayenunua pool table anaposti histogram eti kaongeza asset.Mkuu akuna superstar asie julikana vitu alivyonavyo, ata ukificha watu watajua tu...........
Nenda shule kwanza achana na habari za vijiweniKama pesa haijakuzoea ukiipata unakuwa na tabia za domo.
Wewe unazijua zaidi za vijiweni na zisizo za vijiweni coz unashinda huko.Nenda shule kwanza achana na habari za vijiweni
Narudia, wewe jamaa hujui lolote bali ni msukule wa Mange! Pia narudia, VEVO haipatikani Tanzania na hicho unachoamini ni VEVO Account ni mirror Account iliyopo Youtube na inatumia masharti ya Youtube na ndio maana, hata Views wa Lady Gaga walifyekwa na Youtube na sio Vevo!!!Kapokee book 7 yako kwa domo maana sio kwa kuingia chaka huku. Yaani wewe ni chaka la shamba, hakuna unachokijua chochote kwenye ulimwengu wa hacking zaidi ya kupigiwa theoretical stories.
Unarukaruka. Tuliza akili. Maana hayo unayoyafafanua tunayajua kabla haujaanza kutumia smartphone.Narudia, wewe jamaa hujui lolote bali ni msukule wa Mange! Pia narudia, VEVO haipatikani Tanzania na hicho unachoamini ni VEVO Account ni mirror Account iliyopo Youtube na inatumia masharti ya Youtube na ndio maana, hata Views wa Lady Gaga walifyekwa na Youtube na sio Vevo!!!
Pure Vevo account hivi ndivyo inavyoonekana:
View attachment 599576
Lakini kwa wimbo huo huo, unapatikana Youtube Channel na interface yake ni hii:
View attachment 599577
Zaidi ya 90% ya Views wa Ali Kiba wanatokea kwenye Youtube Channel na sio Vevo Account!!!
Halafu wewe na wenzako mlivyo mambumbu mnadhani kuwa VEVO ni very special wakati hata Bongo wapo wasanii wenye account Vevo though zinazokuwa accessed ni Vevo Youtube Channel. Na hawa walipata hizo akaunti hata kabla ya Kiba!
It's all about Business! Uchague Vevo upate sifa za Kijinga kutoka kwa wasiojua kama wewe au uchague Youtube!!!
The difference, ukiwa na account Youtube, Google wakishachukua share yao (ya matangazo) kinachobaki ni cha Youtubers kwa sababu, advertizers wanalipa moja kwa moja Google/Youtube.
Kinyume chake, kwa upande wa VEVO, advertisers wanalipa kwa Vevo through Youtube Channel. Na kwavile Vevo Youtube Channel inatumia Platform ya Youtube which means, VEVO nao wanawalipa Youtube na hivyo kuongeza mlolongo wa cost unaopunguza mapato ya msanii!
Mbaya zaidi, kwa VEVO including hizi mirror account kuna mtu katikati. Which means, mpunga wa matangazo ukishakusanywa hauendi moja kwa moja kwa msanii tofauti na Youtube ambao, Google/Youtube wakishachukua chao, hakuna tena mtu wa kati na mpunga unaenda moja kwa moja kwa msanii!!!
Kwahiyo endelea kushangilia vitu usivyovijua hivyo hivyo!!! Na kwa akili yenu mnadhani Vevo ni kubwa kuliko Youtube wakati hao VEVO wanategemea Youtube Channel!!
Hebu soma tena ulichokiandika maana unaweza uka edit etii.Kiba afanyi collabo coz anaweza umbuka mkuu mond anajiamini ndo maana anatuwakilisha vizuri wewe kaa hapo usubiri mond aje vevo utazeeka!!!!
We jamaa ni limbukeni! Kwanini usiulize msanii gani Youtube aliyevunja rekodi ya Kiba na Diamond? Kwani miongoni mwa wasanii wanaotumia Vevo Youtube account ni wangapi wana historia ya kupata views wengi?! Yaani hadi sasa hufahamu kwamba hao views wanakuwa accessed from Youtube?!Unarukaruka. Tuliza akili.
Swali. Msanii gani Tanzania zaidi ya Alikiba aliyeko VEVO aliyevunja rekodi ya 1 M VIEWS ndani ya 48 hrs?
Ahaa ukitaka kutuliza maumivu ya kichwa katizame seduce me ya Alikiba.We jamaa ni limbukeni! Kwanini usiulize msanii gani Youtube aliyevunja rekodi ya Kiba na Diamond? Kwani miongoni mwa wasanii wanatumia Vevo Youtube account ni wangapi wana historia ya kupata views wengi?! Yaani hadi sasa hufahamu kwamba hao views wanakuwa accessed from Youtube?!
Duh!!! We jamaa unastahili kabisa kuwa shabiki wa Mange manake hata ufahamu wa mambo ya kawaida hauna! Usidhani Vevo ni very special
Seduce Me ina nini? Manake kama ni views inazidiwa na Zilipendwa!!!Ahaa ukitaka kutuliza maumivu ya kichwa katizame seduce me ya Alikiba.
Mkuu embu nsaidie kuedit m sioni cha kuedit apoo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hebu soma tena ulichokiandika maana unaweza uka edit etii.
Mwanume mmoja mwenye nywele fupi (Alikiba ~ Seduce me) kawapasua vichwa wanaume 6 (domo band) wenye afro zao.Seduce Me ina nini? Manake kama ni views inazidiwa na Zilipendwa!!!
Inaonesha hujui kitu kuhusu VEVO. dmond aliitwa kusign VEVO akakataa akidai malipo ni kidogo tena akasema Siwezi kuwa kukubali kusifiwa kisa npo VEVO huku naumia moyoni LA haha! Mond anadai VEVO ikija na malipo mazuri nasign. Kama unakumbuka mond kukataa kusign mkataba sababu ya malpo madogo sio Mara ya kwanza. Kiba alishawahi Fanya show ya bure London km unakumbukaAlikiba yuko VEVO account wakati Diamond yuko YouTube kawaida. Mastaa wengi duniani wako VEVO account ambako huwezi kununua views au kuchezea views (robotic views). Msanii hulipwa pesa kwa views anazopata. Kama kweli Diamond hana kamchezo kachafu anakofanya kwenye views basi aje VEVO. Na kama atabaki huko basi kamwe asilinganishwe na alikibaVEVO, kwa sababu hiyo itakuwa sawa na kulinganisha Dispensary ya kijijini na Hospitali ya Rufaa.
Taja ngoma moja ya Kiba ambayo imeifikia au angalau kuikaribia kwa Views ngoma ya Nitampata Wapi ambayo ameimba peke yake!!Mwanume mmoja mwenye nywele fupi (Alikiba ~ Seduce me) kawapasua vichwa wanaume 6 (domo band) wenye afro zao.
Enhee ilifikisha views 1 M ndani ya 48 hrs au baada ya wiki kadhaa?Taja ngoma moja ya Kiba ambayo imeifikia au angalau kuikaribia kwa Views ngoma ya Nitampata Wapi ambayo ameimba peke yake!!
Nitampata Wapi ina views above 10M
Unanipenda ina Views above 10M
Mdogo mdogo ina views above 10M.
Na zote hizo kaimba peke yake!! Na wewe taja ngoma za Kiba zilizofika 10M Views and above!
But all in all, inawezekana hapa nabishana na mtu ambae hata ABC ya haya mambo hana kabisa! Ili nisiendelee kupoteza muda wangu; hebu niambie ubora uliopo kwenye Vevo Youtube channel account compared to pure Youtube channel account huku msisitizo ukizingatia mada ya hapa!!
Huyo unayemwambia hayo ni ama ameamua tu kuleta ligi za kijinga au uelewa wake ni mdogo!!!Inaonesha hujui kitu kuhusu VEVO. dmond aliitwa kusign VEVO akakataa akidai malipo ni kidogo tena akasema Siwezi kuwa kukubali kusifiwa kisa npo VEVO huku naumia moyoni LA haha! Mond anadai VEVO ikija na malipo mazuri nasign. Kama unakumbuka mond kukataa kusign mkataba sababu ya malpo madogo sio Mara ya kwanza. Kiba alishawahi Fanya show ya bure London km unakumbuka