Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Shetani ana uhusiano mkubwa na ijumaa na lugha ya kiarabu, nikiwa shule wadada ambao walikuwa wanapandisha mapepo wakizungumzaga kiarabu pia
Pole Wafiwa.
Haya bhana mimi nilikuwa cjui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani ana uhusiano mkubwa na ijumaa na lugha ya kiarabu, nikiwa shule wadada ambao walikuwa wanapandisha mapepo wakizungumzaga kiarabu pia
Pole Wafiwa.
Wakuu habari zenu,
Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.
Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?
Poleni! Ila kiarabu ni lugha tu kama Kimatengo na Kihaya
Masada=maada
Pole sana kwa kufiwa, Allaah aifanyie wepesi roho ya marehemu. Just a coincidence lakini haina maana yoyote.
Pole sana BI/Bwana Tahira la Mirembe. Kusema kweli haya mambo huwa yanaacha maswali mengi kwa watu wa karibu. Sasa ubaya wa suala hili hata tukilijadili halitatupa suluhu ya kumrejesha mtu aliyekwisha kufa, cha msingi hapo mtoa mada ni kujitakasa ili siku ukifa uende katika uzima wa milele.
UKipenda kutafakari sana mambo ya waliokufa kwamba wamekufa kwa halali au la utajinajisi na baadae utamkosea Mungu. Biblia inasema yaliyowekwa wazi ni ya kwetu lakini yaliyofichika ni ya Mungu mwenyewe.
Mche Mungu tengeneza maisha yako ili umilele wako uwe mzuri
Barikiwa sana