Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Binafsi naweza kusoma koment yako na kukuelewa we ni mtu wa namnagani, kwanza kabisa ni mtu ambaye huna busara 2. Ni mtu unayependa kuongea kitu na kutaka kila mtu akusikilize 3. Ni mtu unayejikweza japokuwa huna kitu 4. Ni mtu unayependa mazozano na watu bila kujali ni wa rika gani(hii ndio mbaya sana) 5. Ni mtu mwny shida za kimaisha japo hupendi watu wajue uhalisia wako 6. Ni mtu ambaye hujifanya unajua kila kitu, ili hali unaujua ukweli wako ndani ya moyo wako.. USHAURI-- hali hiyo ndio uliyoumbwa nayo na hapa wewe pia huipendi muda mwingine maana imeshakufanya umegombana mpaka na watu wa karibu, nachoweza kukushauri ni ujaribu kuicontrol hali hiyo japo kiuhalisia ni ngumu.

We jamaa uko deep sana, nami pia najaribu kusadiki uliyonena juu ya jamaa huyo.
 
Mm nadhan kuna uhusiano flan, mfano mm mwanangu alizaliwa march 21 tarehe aliyo zaliwa braza, ajabu yake mtoto wa braza akaja kuzaliwa tarehe niliyozaliwa mm. Ngoja. Waje wataalamu watuambie vzr

Duuh aisee hata yako kali.
 
Kwani kuna ajabu gani? Mimi mwenyewe nilizaliwa siku ya Ijumaa na natamani nife siku ya Ijumaa. ...kwa waislam wanajua namaanisha nini.



Weee bidada lile jukwaa uloniad cjaiona mpk leo nifah
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habari zenu,

Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.

Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.

Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?



Umesahau kuwa alizaliwa Muhimbili Hospital na pia amefia Muhimbili
 
Umesahau kuwa alizaliwa Muhimbili Hospital na pia amefia Muhimbili

Mkuu naamini tutakuwa tunafahamiana, au ulikuwa unamfahamu marehemu? Embu nitajie jina lake moja tu maana ni kweli alizaliwa muhimbili na amefia muhimbili.
 
Mkuu naamini tutakuwa tunafahamiana, au ulikuwa unamfahamu marehemu? Embu nitajie jina lake moja tu maana ni kweli alizaliwa muhimbili na amefia muhimbili.


mie ndio niliesimamia kuanzia ujenzi mpaka ujengaji wa kaburi la John
 
Mkuu naamini tutakuwa tunafahamiana, au ulikuwa unamfahamu marehemu? Embu nitajie jina lake moja tu maana ni kweli alizaliwa muhimbili na amefia muhimbili.


Mkuu mshana Jr ulichokiongea hapo kama mtu hakijawahi kumkuta hataamini,niligombana na mtu kwenye bus na matusi nikammwagia ikaja kutokea nataka kununua kiwanja,madalali wametafuta nimeenda kukiona nikakipenda bei nikaongea na jamaa kwenye simu tukaelewana vizuri na nikafahamiana na majirani kabisa siku ya kwenda kulipa,huwezi amini nikakutana uso kwa uso na jamaa nilitemtukana kwenye daladala,siku hiyo ndo nijua nini maana ya "utatamani ardhi ipasuke ujichimbie",haya mambo ya kumpa mtu shit huku humjui haifai kabisa maana hujui atakusaidia vipi,sas'ivi kila mtu namuheshimu awe mdogo awe mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habari zenu,

Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.

Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.

Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?
We taira la mirembe kweli!
 
Hivi kuzaliwa na kufa kipi kinatangulia?Unatangulia kufa ndio unazaliwa au unazaliwa ndio unakufa?

Maana sijamuelewa mtoa Masada kwenye heading alipoandika "Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7.

Nahisi mshangao zaidi wa mtoa maada upo kwenye "kufa na baadae kufufuka kwa marehemu"na sio tarehe.

Si umeelewa lakn kwamba kafiwa au
 
Shetani amehusikaje hapo???.

Shetani ana uhusiano mkubwa na ijumaa na lugha ya kiarabu, nikiwa shule wadada ambao walikuwa wanapandisha mapepo wakizungumzaga kiarabu pia
Pole Wafiwa.
 
Binafsi naweza kusoma koment yako na kukuelewa we ni mtu wa namnagani, kwanza kabisa ni mtu ambaye huna busara 2. Ni mtu unayependa kuongea kitu na kutaka kila mtu akusikilize 3. Ni mtu unayejikweza japokuwa huna kitu 4. Ni mtu unayependa mazozano na watu bila kujali ni wa rika gani(hii ndio mbaya sana) 5. Ni mtu mwny shida za kimaisha japo hupendi watu wajue uhalisia wako 6. Ni mtu ambaye hujifanya unajua kila kitu, ili hali unaujua ukweli wako ndani ya moyo wako.. USHAURI-- hali hiyo ndio uliyoumbwa nayo na hapa wewe pia huipendi muda mwingine maana imeshakufanya umegombana mpaka na watu wa karibu, nachoweza kukushauri ni ujaribu kuicontrol hali hiyo japo kiuhalisia ni ngumu.

Jina lako siyo Matakataka? Kama ndiyo sasa sitajibizana na Matakataka tena.
 
Back
Top Bottom