Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Kwani kuna ajabu gani? Mimi mwenyewe nilizaliwa siku ya Ijumaa na natamani nife siku ya Ijumaa. ...kwa waislam wanajua namaanisha nini.
nifah unachekesha sana 🙂 eti unatamani kufa ijumaa?
Kama ijumaa iliyopita ulijisahau andaa kitanzi unipe namba zako ili ijumaa ijayo nikushtue😀
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni MATAKATAKA yaliyoshindikana na JIJI.

Binafsi naweza kusoma koment yako na kukuelewa we ni mtu wa namnagani, kwanza kabisa ni mtu ambaye huna busara 2. Ni mtu unayependa kuongea kitu na kutaka kila mtu akusikilize 3. Ni mtu unayejikweza japokuwa huna kitu 4. Ni mtu unayependa mazozano na watu bila kujali ni wa rika gani(hii ndio mbaya sana) 5. Ni mtu mwny shida za kimaisha japo hupendi watu wajue uhalisia wako 6. Ni mtu ambaye hujifanya unajua kila kitu, ili hali unaujua ukweli wako ndani ya moyo wako.. USHAURI-- hali hiyo ndio uliyoumbwa nayo na hapa wewe pia huipendi muda mwingine maana imeshakufanya umegombana mpaka na watu wa karibu, nachoweza kukushauri ni ujaribu kuicontrol hali hiyo japo kiuhalisia ni ngumu.
 
Hivi siku mkionana halafu mkajikuta mnafahamiana mtajisikiaje?
Yamewahi kuwakuta watu tena hapahapa JF tena mimi nikiwa shuhuda...mbaya zaidi kumbe walikuwa ndugu

Hilo nalo limo,itakuwa ni suprise ya hasira.
JF RAHA.
 
nifah unachekesha sana 🙂 eti unatamani kufa ijumaa?
Kama ijumaa iliyopita ulijisahau andaa kitanzi unipe namba zako ili ijumaa ijayo nikushtue😀

Hapana mkuu, namaanisha endapo Mungu kama akipenda kunichukua basi na anichukue siku ya Ijumaa.
Kujinyonga siwezi, maisha matamu wewe.
 
Last edited by a moderator:
Nimezaliwa tarehe moja, na mwezi mmoja na mama yangu. na kanizaa pekee yangu, hapo vipi?
 
Hapana mkuu, namaanisha endapo Mungu kama akipenda kunichukua basi na anichukue siku ya Ijumaa.
Kujinyonga siwezi, maisha matamu wewe.

Hahahaaaaa wewe ni noma sana. Kumbe hupendi kufa lakini unapenda kufa siku ya ijumaa?
 
Nani anaetaka kufa? Maisha haya matamu hivi? Halafu ndio yanazidi kuwa matamu maana CCM inafikia ukomo wa chama tawala October.

Dah! Umeumbwa umenifurahisha sana. Hapa nilipo natamani October ifike nione ccm inavyoangukia pua 😛
 
Nani anaetaka kufa? Maisha haya matamu hivi? Halafu ndio yanazidi kuwa matamu maana CCM inafikia ukomo wa chama tawala October.

Sidhan kama ni matam kuliko ya peponi!Na njia ya kwenda peponi ni kifo tu
 
Hiyo mdogo wako alikuwa pepo mdogo mnayeishi Naye,kiarabu tunamwita kibriii,na alivyokufa alikimbilia baharini,yupo baharini na jibriii,na huyo mdogo wako siku za uhai wake alikuwa anapenda kura unga,na kwa week lazima aamke saa Tisa usiku kukojoa kwa week Mara 3
 
Umekurupuka wewe. Haujajua unachoandika. Tahira la Mirembe ni jina lake wala mimi sijamtukana ila wewe ndo umenitukana. Labda niseme kuwa wewe ni FISI na Msengerema.

Bdo nakuwa na wasi wasi na akili yako.
 
Hiyo mdogo wako alikuwa pepo mdogo mnayeishi Naye,kiarabu tunamwita kibriii,na alivyokufa alikimbilia baharini,yupo baharini na jibriii,na huyo mdogo wako siku za uhai wake alikuwa anapenda kura unga,na kwa week lazima aamke saa Tisa usiku kukojoa kwa week Mara 3

Mkuu hakuna la ukweli hata moja, hali karanga,hakukojoa kama unavyodai yan kwa kifupi ni hapana.
 
Back
Top Bottom