Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
nifah unachekesha sana 🙂 eti unatamani kufa ijumaa?Kwani kuna ajabu gani? Mimi mwenyewe nilizaliwa siku ya Ijumaa na natamani nife siku ya Ijumaa. ...kwa waislam wanajua namaanisha nini.
Kama ijumaa iliyopita ulijisahau andaa kitanzi unipe namba zako ili ijumaa ijayo nikushtue😀
Last edited by a moderator: