Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa


Peke yake Mungu ndiye ajuaye majibu ya maswali yako
 
[QUOTE=mshana jr;Hebu Google mysteries of 9/11 mimi hapa nitakupunja

mi nimegoogle ila naona shambulio LA marekani tu hata sijaelewa uhusiano ngoja nkusubiri tu Mshana
 
Pole sana BI/Bwana Tahira la Mirembe. Kusema kweli haya mambo huwa yanaacha maswali mengi kwa watu wa karibu. Sasa ubaya wa suala hili hata tukilijadili halitatupa suluhu ya kumrejesha mtu aliyekwisha kufa, cha msingi hapo mtoa mada ni kujitakasa ili siku ukifa uende katika uzima wa milele.
UKipenda kutafakari sana mambo ya waliokufa kwamba wamekufa kwa halali au la utajinajisi na baadae utamkosea Mungu. Biblia inasema yaliyowekwa wazi ni ya kwetu lakini yaliyofichika ni ya Mungu mwenyewe.
Mche Mungu tengeneza maisha yako ili umilele wako uwe mzuri
Barikiwa sana
 

amina mtumishi kwa maneno ywnye hwkima ba busaia ya lali qqa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…