Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Demu kakukataa msomi Kam wew ,kaend kuwekw mimba na mhuni aisee🤣🤣🤣
 
Demu kakukataa msomi Kam wew ,kaend kuwekw mimba na mhuni aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilijaribu kumtega kumuuliza kwann kipindi kile kabla hajapigwa mimba alinikataa. Akadai tu utoto hakua anajitambua na alikua anadanganywa na wenzake. Sasa hivi anataka nimpe second chance tufanye maisha.
 
ahh hiyo hiyo 92 inatosha alaf sio ukatili ni kua mkweli na maisha mtu akiringa sana na ww mkomoe maana hata ukimttendea wema ndo anakudharau
Hapa nawaza nikirudisha majeshi, nikaanza kuishi nae lazma yule mzazi mwezake animegee.. Nimeona nimpotezee tu mazima bila kumgonga nisije nikanogewa
 
Nilijaribu kumtega kumuuliza kwann kipindi kile kabla hajapigwa mimba alinikataa. Akadai tu utoto hakua anajitambua na alikua anadanganywa na wenzake. Sasa hivi anataka nimpe second chance tufanye maisha.
Ni huzun ,anaonekan anakutega kiaina kiongozi ,usimpe huruma yako anakuja kwako coz ya shida zake kakimbiwa sio kwamb anakupenda muulize atakupa nn cha ajabu ambacho wew huna!!?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…