Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Rudi mwambie ashasikia wapi mechi inaanza 1 bila
 
Aisee mpka nimemwonea huruma
 
Huyo mkaanga chips sio Zero IQ kweli
 

Kwahiyo hapo mjuba ukaona umetoboa
 
Aisee kumbe hiz mambo kila kona dah

Kuna bint ananisumbua sana sasa iv

2004-2006 nlikua nae kwenye mahusiano akaja kunipotezea mazima

Mwaka 2020 akanichek sijui no yangu iliitoa wapi yeye akiwa mwalimu wa primary kahama uko mim Nipo Moshi kwa mishe zangu, tukapima story lkn yeye alichokua anataka ni kuniona anamaongez na mie nimwambia Nipo Moshi akasema anakuja ilikua simple kwake mana ilikua ni likizo ya December

Kama utani vile dem akatua Moshi mjin mi nilikua Nipo mwanga lemben pale nikampa maelekezo akaja...

Oooh ikabid tupige stor pale na kupeana backgrounds zetu doh bint alikua keshaolewa ndoa mbili na kesha achika zote anadai mie ndo wake ninaemuwezea kwa kila kitu hakuna mwanaume anaemuelewa [emoji849]

Cha ajabu sasa bint ndoa ya kwanza Mtoto mmoja ndoa ya pil watoto wawil mmmh aisee bint alinichosha kabisa na mpaka leo hii ananisumbua na ana iman tamuoa tu

Mabint uwa wananishangaza sana kuzaa sehemu isiyoeleweka aisee swala la kuzaa ni uamuz magum sanaaa
 
Daaah yaani huyu kakuelewa kwa kila kitu 2006 mpaka leo hii daaah kuna kipande kirefu sana.
 
dem hakua na namna nkanyandua
Huwa sipendi binafsi nimle demu ambaye Hana hisia namie. Mana hawezi Nipa romance heavy,yaani kiufupi kwenye kichwa chake Hana akili ya kuwa mie nipate Raha Bali anafanya kutimiza wajibu. Na huyu hakukupenda yaani hakuwa na hisia za kimalenzyna wewe. Shida sie me huwa tunaona Kama tuna haki ya kupendwa na kila mwanamke ambaye tuna hisia naye. Ni sawa Kuna demu anakupenda hata akivua huna hisia kabisa na yeye,yaani labda ucheki eksi zeni ikiwa imesimama ndio udumbukize.

Yaani Ile demu ana shida naitumia kumla mie naonaga Kama yule mtu ubongo wake hujaridhia Ina Mana bila ya shida humli.
Boss anatumia ubosi kula mbususu unabakia Nina Imani. Iyo ndio anakupa fake smile , orgasm anajiliza kimahaba kukifeki.

Sema ulikuwa na maumivu so ukiamua kuyanaliza kwa revenge ama kumkomesha fulani.
 
Umeblock namba bado anapiga tena?

Una uhakika huyo sio Jini?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Tatizo hisia za kumla sina, kila nikifikiria namna alivyokua ananiletea mapozi na walivyokua wananivimbia na yule dogo muuza chips ndio nakatika stim
Wasichana wakiwa wazuri huwa wanajiona malaika.

Tayari another Single mother in Town.

Mtoto mzuri kama ulivyomwelezea imekuwaje aliyemzalisha kamwacha??

Huwa tunawambia Uzuri pekee haulindi mahusiano bali tabia njema
Mwanadada kama ulivyofafanua anaonekana ni mzuri kweli kweli lakini tayari kuna mwanaume kamshindwa na uzuri wake.

Sasa anatapa tapa.
 
Sio kwamba alikuwa mke wa bosi kisiri siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…