Alikuwa mtu au nilikutana na jini au ubongo wangu ndo ulikuwa una-hallucinate: Mwanamke mzuri kapendeza, na hanijui aliniomba 2000 ili akale

Usiku nikaingiwa na mawazo kwamba bora ningemuomba namba nimtumie kwa simu then nile kimasikhara lkn upande mwingine wa akili unanambia ningekula jini.


Hapa ndipo watu wengi huwa tunafeli, mtakuja kitongoza na kulala na watoto wa ndugu zenu bila kujua.
 
Sikukatalii tahadhari lakin naona uko too risk conscious hadi unaweza kupoteza utu wa kawaida, ukaidhuru afya ya roho na nafs!
Nataman usipoteze utam wa kusaidia unaloweza though cautiously.

Nikupe kisa changu binafs
Ni jion, natokea kijijin kwetu msiban narud mjini km 52 hiv.
..njian nikakutana na mama ana mtoto mchanga ameshakosa hiace za kwenda mjini nikasimamishwa.
..nikatoa tu lift mana nilkuwa na ndugu yangu tu.
.. njian nikala mzinga kupinduka mara 4. Gari nyanga nyanga.
Mi mzima (Ashukuriwe sana aliyebuni mkanda). Ila gari likawa light off.
..Ila huyo mama na zaid mtoto wanalalamika maumivu sana.
..Nikakod gari haraka hadi zahanat ya karib, na mmewe akaja usiku.
..Ndg yang aliumia sana kichwan kushonwa kwa kupasuliwa na mlango.
.. nikalipia gharama na kuwasafirisha wote hadi kwao wilaya jiran baada ya kuonekana hakuna issue kubwa kiafya.
Nikajikuta kama laki 240 zimeenda.
Na nilitoa lift penye nauli ya 2500.
..BAADA YA WIKI YULE MAMA AKANIPIGIA SIMU KUWA ANAHITAJI LAKI 3 MAANA HAZALISHI ANASIKILIZIA AFYA YAKE.
..Je nisitoe lift katika maisha yangu tena?!
Anyway, LIFE IS A PRISM, EVERYBODY SEES IT FROM HIS/HER ANGLE.
 
Mimi juzi nimetoka msibani (kanisani) tegeta huko mdada akanifata akaniambia dada samahani Naomba 1000 ya nauli nami nikamjibu sina (alipendeza na Tunguo twake twa mitego)baada ya jibu langu akaniambia Naomba 1000 chochote nitakupa,nikamuuliza mimi mwanamke mwenzako utanipa nini??akaniamgalia nami nikamkazi jicho huyo pole pole akaondoka(huyu alikuwa kazini mchana kweupe)
 
Duuh, alitaka akupe mkasi
 
Hongera sana ndugu,mimi kuna siku nipo kwa mama ntilie napata chai akaja kaka ni mlemavu wa miguu(mguu mmoja)akaketi karibu yangu akanisalimia na kuomba anunuliwe chai basi nikamwambia agiza akaagiza yaan bili yake ni mara tatu ya nilichokula mimi na mimi nikajua atakula chapati2 na chai dah!uzuri siku hiyo nilikuwa na kijipesa mfukoni(ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia agiza)
 
agiza akaagiza yaan bili yake ni mara tatu ya nilichokula mimi na mimi nikajua atakula chapati2 na chai dah!uzuri siku hiyo nilikuwa na kijipesa mfukoni(ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia agiza)
Hahahahahahahaaa, usingekua na hela ungeosha vyombo wakat kala mwingine
 


Upo sahihi mkuu, nashukuru nimejifunza; ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia aagize, kumwambia aagize ni jambo la hatari.πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»
 
Yaan hapa ndipo pananiuma, What if sikua sahihi, na kweli alikua ana njaa. Roho inaniuma sana nikifikiria hivo. Lakini wengiine ni chuma ulete chief. Hio hela inaenda kufanyiwa utaalamu huko unakua mtafutaji wa watu tu
NIamini mimi ulikuwa sahihi sana hata kama watu milioni moja wakikupinga,, Narudia tena ulikuwa sahihi sana.. Mimi ilinitokea 5yrs Ago.
A day to remember in my entire life na sina kumbu kumbu ni watu wangapi nishawaambia mpaka wa leo hii..
Sitasahau kamwe Maishani mwangu.
 
Usione ni warembo! Wapo ambao wana shida sana.
Pengine alivaa hivyo ili akapate wa kumpa hiyo ya kula.
MImi ningempa tu wala nisingemwomba cho chote,mimi siamini katika mambo ya chuma ulete.
Lakini upande mwingine kama nafsi inakataa kwa sababu umemhisi kwa hivyo ullivyodhania siyo kosa!
 
= lami

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Omba omba wenye matako hao, siku hizi Wauza Uchi wamembuni mbunu Mpya ya kutia huruma, Sema UTI ungepewa tu ni wewe mwenyewe ulifeli padogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…