Usiku nikaingiwa na mawazo kwamba bora ningemuomba namba nimtumie kwa simu then nile kimasikhara lkn upande mwingine wa akili unanambia ningekula jini.
Sema jamaa kawa mzito siku hiyohiyo alikuwa anakula vyombo tuSio jini ni kahaba ,believe me
Sikukatalii tahadhari lakin naona uko too risk conscious hadi unaweza kupoteza utu wa kawaida, ukaidhuru afya ya roho na nafs!Chief asante kwa somo. Ningekua nna roho mbaya conscience isingeniuma kiasi hiki kama nlivyoelezea hapo juu.
Lakini tusikimbie ukweli, dunia imebadilika sana chief. Kuna quote inasema "Set boundaries with people because when you are too kind it's easy to get misused".
Sio kwamba niliamua kuwa negative lakin niliamua kutokana na mazingira na past experience nlizopitia. Rafiki yangu alishawahi kumpa lift mrembo mmoja ile kufika kumshusha sehemu akaanza kumpigia kele eti ana-mbaka. Baada ya hapo wakatokea watu wakamlazimisha jamaa amlipe fidia huyo dem, yule jamaa alilipa laki tano hivi hivi na bado scandal ikafika kwa mke wake.
Mimi ningempa pale sijui nini kingetokea, lakini kuliko kumpa nikawa kwenye hatari ni bora nisimpe na nisiwe kwenye hatari. Kuna magroup mengi ya kusaidia zaidi yake, kama nilikua wrong basi nitacover kwa wengine.
Duuh, alitaka akupe mkasiMimi juzi nimetoka msibani (kanisani) tegeta huko mdada akanifata akaniambia dada samahani Naomba 1000 ya nauli nami nikamjibu sina (alipendeza na Tunguo twake twa mitego)baada ya jibu langu akaniambia Naomba 1000 chochote nitakupa,nikamuuliza mimi mwanamke mwenzako utanipa nini??akaniamgalia nami nikamkazi jicho huyo pole pole akaondoka(huyu alikuwa kazini mchana kweupe)
Hongera sana ndugu,mimi kuna siku nipo kwa mama ntilie napata chai akaja kaka ni mlemavu wa miguu(mguu mmoja)akaketi karibu yangu akanisalimia na kuomba anunuliwe chai basi nikamwambia agiza akaagiza yaan bili yake ni mara tatu ya nilichokula mimi na mimi nikajua atakula chapati2 na chai dah!uzuri siku hiyo nilikuwa na kijipesa mfukoni(ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia agiza)Siku hizi hayo yamekuwa ni mambo ya kawaida sana.
Mimi binafsi nilikuwa napata lunch katika mgahawa mmoja (open venue), mara akapita dada mmoja na akaja kukaa kando ya kiti nilichokaa mimi, nikadhani naye kaja kuagiza chakula, mara kwa sauti ya upole akanisalimia; "habari yako kaka", safi tu dadaa, nikamjibu huku nikijua ni salamu ya kawaida kwakuwa kanikuta pale, kumbe ilikuwa ndio gia namba moja ya kuniingia, "Samahani kaka naomba unipatie japo elfu na mimi nipate chakula" aliniomba kwa sauti ya huruma sana, pale chakula kilikuwa kinaanzia sh 2,000/=. Nilishikwa na huruma nikamwambia aagize chakula, akaagiza.
Nashukuru Mungu siku hiyo mfukoni sikuwa haba, basi nilipomaliza kula nikamwachia sh 2,000/= mimi nikasepa, kipindi naondoka alinishukuru sana.
Alikuwa mwanamke mzuri kiasi kwamba huwezi kutaraji kwamba angekuwa na shida hiyo ya kukosa sh 1000/-, lakini ndio maisha, nikakumbuka kipindi fulani mimi nilikosa nauli tu sh 500/- na ilinibidi kutembea karibu km 20 hivyo sikumshangaa sana yule dada.
Tofauti yangu mimi na wewe ni; mimi sikumtamani huyo dada kutokana na shida yake nilimsaidia tu ili kutimiza kauli ya wahenga; tenda wema usingoje shukurani, saidia tu huwezi jua nawe utasaidiwa na nani!!.
Mshenzi wa tabia yaani nilimkata jicho hilo hakufungua mdomo tena mdogo mdogo akasepaDuuh, alitaka akupe mkasi
Hahahahahahahaaa, usingekua na hela ungeosha vyombo wakat kala mwingineagiza akaagiza yaan bili yake ni mara tatu ya nilichokula mimi na mimi nikajua atakula chapati2 na chai dah!uzuri siku hiyo nilikuwa na kijipesa mfukoni(ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia agiza)
Alikula fasta na kuondoka baadae mhudumu ndo ananiambia ndo tabia yake angalau angekuwa anaagiza kidogoHahahahahahahaaa, usingekua na hela ungeosha vyombo wakat kala mwingine
Hongera sana ndugu,mimi kuna siku nipo kwa mama ntilie napata chai akaja kaka ni mlemavu wa miguu(mguu mmoja)akaketi karibu yangu akanisalimia na kuomba anunuliwe chai basi nikamwambia agiza akaagiza yaan bili yake ni mara tatu ya nilichokula mimi na mimi nikajua atakula chapati2 na chai dah!uzuri siku hiyo nilikuwa na kijipesa mfukoni(ni bora kumpa pesa kuliko kumwambia agiza)
NIamini mimi ulikuwa sahihi sana hata kama watu milioni moja wakikupinga,, Narudia tena ulikuwa sahihi sana.. Mimi ilinitokea 5yrs Ago.Yaan hapa ndipo pananiuma, What if sikua sahihi, na kweli alikua ana njaa. Roho inaniuma sana nikifikiria hivo. Lakini wengiine ni chuma ulete chief. Hio hela inaenda kufanyiwa utaalamu huko unakua mtafutaji wa watu tu
Hayumo humo unamopawaza yaani sio jini wala sio kahaba..Niamini mimi..Sio jini ni kahaba ,believe me
= lamiHabarini mabibi na mabwana...
Nimekaa na hiki kisa natafakari mara mia mia lkn sipati jibu, naishia kupata mixed feelings tu.
Ilikua hivi, Jumamosi iliopota nilitoka zangu kwenda mazoezini mida ya saa kumi na mbili. Niko zangu nakimbia kwenye barabara ya rami, mida hio ilikua bado tupu kiasi na kwa mbele nikamuona mdada fulani hivi kavaa yale madela yanayong'aa ng'aa hivi, huwa yanakua na rangi ya njano imechanganywa na nyeusi kwa mbali. Na inaonekana alikua amelishikilia kwa mbele sababu kwa nyuma huo mzigo aiseee ulikua umejichora shape namba nane kapisa ile ya kuprint. Wowowoo imejazia balaa.
Sasa mimi nikawa bize zangu kuongeza speed nikiwa nyuma yake, yeye alikua anatembea. Ile nmefika karibu nae kama mita 3 hv akasimama akageuka nyuma kama ananisubiria. Nikashangaa kiasi lkn nilivofika usawa nae akanisimamisha, yale marashi yalikua sio ya dunia hii aisee.
Ile kunisimamisha nikamuangalia sura, mwanamke ni mzuri ana rangi ya maji ya kunde hivi. Akanisalimia nikajibu. Ila kilichofuata ndicho kikanishangaza na ndo kinachofanya nifikiria hadi sasa. Yule mwanamke alinambia "Samahani kaka, nna njaa kweli naomba unisaidie elf 2 kama unayo" Jamani sio typing error, aliniomba elf 2, (2000).
Mimi nikabaki nashangaa kama nusu dakika huku nafikiri nini hiki. Yaan ukiangalia kuanzia shape lake,, malashi yalokua yananukia pale, sura yake, lile dela lake lilivo zuri (nadhan mnayafaham haya madela, kama ya special hivi yellow na black). Akilini nikapiga hesabu haraka na kwa wale wenzangu na mimi tuliosomea Cuba na baadae Israeli nadhan mnajua sometimes hii huwa ni mitego tu aidha ya kishirikina ua kiintellijensia.
Kiukweli nikamwambia yule dada, "hapa sina hela kabisa, si unaona nimevaa nguo za mazoezi hivo sijabeba pesa" Yule mdada akajibu kwa upole kabisa "Sawa kaka angu".
Hela nilikua nayo lakini nikaogopa aidha ingekuwa ni uchawi au mambo mengine yenye madhara kwangu sababu haiwezekani mwanamke mzuri vile aniombe 2000 na kwa kukazia kabisa "ana njaa sana"
Usiku nikaingiwa na mawazo kwamba bora ningemuomba namba nimtumie kwa simu then nile kimasikhara lkn upande mwingine wa akili unanambia ningekula jini.
Vipi wadau wenzangu, mlishawahi kutana na hii scandal?
Ni ww nini ndio uliomba hiyo twentyJamaa mchoyo kweli