Alikuwa wapi siku zote?

Halafu tukisema wanawake hawana akili tutaonekana wakorofi
 
Kumbe kutongozana kwenye Uzi wa watu kuna asilimia kubwa ya kula kimasihara eeh
 
Zamani mwanaume alikuwa akienda ukweni kujitambulisha. Ila nowadays mwanaume anapelekwa kwa ndugu atambulishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…