Alikuwa wapi siku zote?

Alikuwa wapi siku zote?

Kwann huyu umempa tunda la eden kabla ya mdoa wakati yule ulimbania?
Naona hakutaka kurudia makosa ya mwanzo, na ndiyo maana huyu wa pili kapewa kabla nae hajaingia mitini kama yule wa kwanza!!
 
Ama kweli ibilisi wa mtu ni mtu!

Huyu mwamba anataka kuniharibia ila amechelewa kipindi Niko field hospital x yeye alikuwa intern hospital hiyo hiyo, nilitokea kumpenda sana hii ni baada ya yeye kuonesha dalili za kunipenda., Kutokana na kuwa mpweke takribani miaka 24 ikabidi nijisogeze karibu naye Ili twende sambamba!

Naam,.tulifanikiwa! tukawa tupo close nikawa naenda kwake sometimes, na outing za hapa na pale.

Nilimuweka Wazi juu ya Hali yangu yakuwa mpweke takribani miaka 24 hivyo Nikamsihi kuwa natamani haya yawe ni mahusiano yangu ya Kwanza na ya mwisho, imeant nilitaka anioea kabla ya kula tunda kapasino.

Naam, alikubali na akaniahidi atafanya hivyo ndani ya mwaka huo
Licha ya kuwa close nae ila hakuwahi kunambia nimuonjeshe mapishi yangu jambo amabalo nililipenda saana kutoka kwake.

Wakati nakaribia UE ya mwisho alipata kazi Zanzibar hospital x hivyo akawa na mbali Mimi Hali iliyopelekea mahusiano yetu kufifia Kwan alikuwa anadai mara kwa mara niende Zanzibar kumtembealea NAMI nilikaza shingo kwani nilihofia chakula changu kinaweza kuliwa kabla ya wakati.
Alivokuwa anarudi Bara alikuwa hanambii isipokuwa nilikuwa napata habari zake kupitia kwa marafiki zake na status zake.

Baada ya siku kadhaa akanambia tuachane maana siko tayari kumpa ushirikiano, na akadai ana mchumba wake hivyo nisimtafute niliumia sana kiukweli., na kilichonifanya niumie zaidi ni kwamba nilikuwa nimeshamtambulisha Hadi nyumbani ,itoshe kusema alinitia aibu!

Toka juzi ananisumbua anataka turudiane baada ya kusikia naolewa, yote Tisa kumi, alivyo mshenzi kamtumia text My future hubby kuwa et hajamalizana na Mimi akaambatanisha na picha tukiwa wote kama udhibitisho, picha zenyewe nilikuwa 3rd year hukoo. Ila nashukuru mume wangu mtarajiwa hata hajastuka Kwan yeye ndo aliyepiga teke akavunja mlango baada ya kitasa kugoma kufunguka

UNIKOME, NAJUA UPO HUMU UNASOMA HUU UZI ,NARUDIA TENA, UNIKOME.

Mpaka ifike hiyo trh 13 ntaona mengi!
Nikupe hongera sana kwa kutunza bikira yako mpaka ulipofikia hatua ya kuolewa. Hata hivyo, ulipaswa kusubiri mpaka ile siku ya ndoa yenyewe ndipo uruhusu "mlango na kitasa" kivunjwe.

Kwa maelezo yako inaonekana huyo jamaa wa pili amekukula kabla hata hamjafunga ndoa, ingawa mipango ya ndoa bado ipo.

Itakuwaje kabla ya hiyo tarehe 13 huyo uliyenaye akabadili mawazo?

Inavyoonekana jamaa wa kwanza ndiye uliyempenda kutoka moyoni na huyu wa pili, well, ni sababu tu amekukuta katika frustrations za kuumizwa basi ukaona si mbaya kupata kichaka cha kujifichia. Huyu jamaa wa pili ni kama umbrella when it rains.

You don't walk with an umbrella when there is no rain. Mvua ikiisha mwavuli hauna kazi. If you know you know.

Jamaa wa kwanza bado unampenda kutoka moyoni. Na atakaa moyoni mwako maisha yako yote. Unaweza usiwe na raha katika ndoa yako mpya. Ulipaswa kumsamaehe, ungempa nafasi nyingine, labda angeelewa na kukuoa.

Anyways, tayari umeshafanya maamuzi yako, lakini, umechemka.
 
Na hakika jamaa atapiga
Unajua uzuri wanaume tunajuana vizuri sana.
Kitendo cha yeye kuwa na mawasiliano na wewe tayari ni red flag
Wanaume huwa tuna mipango ya miaka kumi mbele yaani kuna chupi tulipanga kuzivua toka darasa la nne na hatujakata tamaa tumezivua zikiwa znaenda kuolewa
Achana kabisa na wanaume
Na huyo unayemwita hubby usimwamini kabisa sisi ni watu hatari sana
Dunia imetu shape tuwe hatari kutokana na tunavyokua mistreated na wanawake
Ana acces ya jamaa ako ana acces ya kuku contact na upo comfortable
Futa namba block

La sivyo wanaume watakufurahisha sio huyo ex na sio huyo mwanaume wako.
Sikukatishi tamaa ila ogopa sana ila ogopa sana kiumbe chenye hb 13- 18 na kina corporsa spongasium hatunaga detumences
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui kama unajua wewe ndo tatizo ila sio jamaa.....trust hata huyo uliyenaye kakubali kukuoa kwasababu tu umempa mzigo kwanza....amna mwanaume karne hii atakubali kuoa bila kula mzigo never!
 
Wewe bado unampenda, kwann una namba za ex wako?? Mnadiscuss vitu gani? Una mtoto naye?? Na hizo namba za mtarajiwa wako kazipata wapi??

Nikwambie hapo vunja ndoa ujitibie hisia zako kwanza ndio uolewe. Kwenye hiyo ndoa hesabu maumivu, huyo mwanaume atakeyekuoa hakuamini na anasubiri uingie akuonyeshe which is which. Yani kifupi huyo kakubali ujinga wako sababu anajua kashachukua michango ya watu na kashakula ng’ombe mzima. Ila show utaiona ukiingia.
Utakuja kuniambia tunza comment
 
Back
Top Bottom