Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Alimsomesha au alimuhonga honga. Hebu tula na utofautishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HawajifunziYeye ndio mwenye kosa
Mchumba asomeshwi
Hiyo kitu ni kujitesa tuJiunge no fap aka semen retention...utakuja kunishukuru baadae.
Kama hapa nna miez kadhaa sijanjunja na wala sipo kwenye hiyo challenge.Ni program ya kuzipa sperms muda wa kujijenga 😂
Ungeendelea, kuna manufaa kama wadau wake wanavyodahiKama hapa nna miez kadhaa sijanjunja na wala sipo kwenye hiyo challenge.
Nilijitoa mapema nilipoona haina manufaa zaidi ya kuona hujapizi siku nyingi, mwisho wa siku unajipongeza .
Kuna manufaa gani?Ungeendelea, kuna manufaa kama wadau wake wanavyodahi
ge.nye sio nzuri hata kidogoSioni shida hapo, pesa ndio kikwazo cha kushindwa kumuoa recho.
Pili umri bado unamruhusu kusaka pesa na kumpata mtu sahihi kwake. Haikuwa bahati yake.
Mapenzi ni upepo yakipepea usiyafate unajizibia nafasi ya milioni wanaolilia kuwa nawe. Ile pain ni matokeo ya nyege tu na sio upendo
Mwanaume ukiwa mzima wa afya mapenzi kama hayo ya Rechel yasikusumbue kabisa..wanaume jinsi umri unavyosonga ndivyo mvuto unaongezeka tofauti na wenzetu huwa wanakimbizana na muda...ikifikaga over 30 huwa na presha sanaMAISHA BILA YA RACHEL
Baada ya kukimbiwa na aliyekuwa mpenzi wake Dan alikimbilia kutafuta pesa ila baada ya kuona mambo yamemshinda aling'oa nanga na kurejea kwao huko Kaskazini akidahi alikuwa akienda kwenye machimbo kutafuta pesa.
Baada ya msoto alinicheki last time nakuniambia alipata ajira zile zilizotangazwa na Serikali na alipangiwa shule moja ya Sekondari ambayo sitaitaja ila inapatikana Kasulu Kigoma.
Wewe umeyaona mkuu.wadau wanadahi ina manufaa