Aliniacha kwa fedheha, lakini leo anahitaji msaada wangu

Hadi kuja JF kuomba ushauri ni ishara tosha kwamba wewe ni farasi na dhaifu mno. Ushauri wangu mtatulie hiyo shida yake na wakati anagongwa na bwana ake ukamshikie miguu.
 
Achana naye; fanya maisha yako ikiwezekana mpige block. Acha udhaifu isipokuwa kama una nia ya kumrudia

lakin ukimrudia lazima atakuumiza tena
 
Hivi wadada kwanini hatuelewi...ukishazingua kwa mwanaume usirudi ng'oo

Komaa na misala yako
 
Mkuu Msaidie huyo Mdudu,hiyo ni fursa adhim ya kufanya Closure na yeye.Msaidie kisha mfungie ukurasa.Asikutafute mpaka kiyama.Yeye ndiye kapoteza,kwa nini umshikilie rohoni mwako mjinga mmoja tu huyo.
Mdudu?? C'mon

Ndo mnatuita hivo?
 
alikuwa nini huyo inaonekana unampenda sana
 
una umri gani mzee?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] amletee ukauzu tu
 
..Hebu mtumie ile sms aliyokutumia wakati anakumwaga, kumkumbusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…