Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

Alikwambia ana PhD ya nn mkuu? Aliisoma kwa lugha gani? Maana yaweza kuwa PhD ya michezo, upishi au ya chochote na kaisoma kwa lugha tofauti na kiingereza. Usidhani kuwa na PhD ni lazima ujue kiingereza.
 
PhD ya mchangani hiyo

Hivi wenye PhD wote lazima wajue kimombo? Hata mjapani Kanyamavi Kayashika??

Mi kuna kadem ka Wingereza kameishia nasare skul kananitesa kwa kimombo sijapata kuona

waif BADILI TABIA njoo kipande hii.... chapchap sana. tena njoo without kabisa...
 
Last edited by a moderator:
Unataka kiingeraza au unataka papuchi? hujasomeka mkuu,
kama wataka kiingereza nenda kwa ras simba

Huyu chalii bhana.... ye mwenyewe kiinglish kimempitia kushoto sasa huyo mchina angejibuje kingedha cha kingoni?
 
Hivi wenye PhD wote lazima wajue kimombo? Hata mjapani Kanyamavi Kayashika??

Mi kuna kadem ka Wingereza kameishia nasare skul kananitesa kwa kimombo sijapata kuona

waif BADILI TABIA njoo kipande hii.... chapchap sana. tena njoo without kabisa...
Wewe nimekuita kule jf doctor mbona unachomoa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom