Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you dating the woman or the PhD?
both matters
Thanks, I can understand huwezi kuwa bar na laptop so umesamehewa.
Ni uzi ule wa ukimwi uliopata wachangiaji wengi
Unataka kiingeraza au unataka papuchi? hujasomeka mkuu,
kama wataka kiingereza nenda kwa ras simba
angalizo, saa mbovu yenye probability ya kusema kweli at least mara mbili kwa siku ni ya mishale (au ile ya analog) na iwe ime simama, kama ina tembea haitakaa iseme ukweli!!
wadau kuna msichana nimempata na aliniambia anaPHD lakin nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndo akapiga na kutaka tupige stori.wadau hapa kuna PHD kweli?