Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

AnaPhD ya akina professor mwafulani haihusiani na elimu ila inferiority complex
 
Labda ana PHD ya kitandani kwny kamchezo kale...shauri yako upoteze bahati
 
kasomwa lingson

Umejaribu kutafuta sababu ya kwann hajibu text zako za kingereza??Yawezekana ukahisi labda yy ndio anatatizo kumbe tatizo lipo kwako.

Unajua kizazi cha sasa kimeharibu hadi kizazi cha zamani katika swala zima la uandishi.Waweza kuta badala ya kuandika neno "SCHOOL" leo hii watu mnaandika XUL,pia badala ya SO MUCH mtu anaandika XO MUCH, I MISS U siku hizi imekuwa MISH U.

Jichunguze kingereza chako mkuu pengine unatumia cha mtaani zaidi,na hivi umesema kakwambia ana Ph.D itakuwa umri wake umeenda kiaina so inakuwa vigumu kuelewa hizi style zenu mpya.


#Analyse
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu unashindwa kuchunguza kama mtu ana phd au lah. Kuna wengine hawataki kujikweza na vingereza . Fanya kuchunguza hata kugoogle maana kama ana phd lazima atakuwa ame publish sehemu utaona tu. siku nyingine ukitaka kumtokea demu mchunguze kidogo sio unaenda kichwa kichwa bila hata kuuliza vitu vya msingi unless unataka ku eat n run
 
kuna msanii mmoja dr zakwoswe kama sijakosea alipewa phd ya mambo ya sanaa sidhan kama phd ina mahusiano ya uelewa wa lugha
 
Sasa kama alikuwa anakwambia ana PHD kumaanisha ya kitandani si hautamshangaaa...ila uliingia mkenge na kutaka kutoka nae so alikuweza weye mpenda wasomi. Ndio maana unaifikiria weeeeeeeew ulidhani utajifunza kiingilishi kizuri haswa kumbe oyoooo

Mmh jipe moyo kuwa labda anakuchora weye na kimombo chako...
 
labda unaandika kiingereza kibovu..anaona tabu kukurekebisha inabidi akuongeleshe kiswahili
 
teh teh teh
kwani alikwambia ana phd ya kiingereza au ipi??
isitoshe ni ya mapishi......halafu sio wote wenye vyeti tumesoma ndugu yangu Hii ndo TANZANIA.
Au ameichukulia Angola kwa lugha ya Kireno
 
Ungemwambia kuwa na wewe ni prof ndio mngeelewana. Sasa kama yeye ana phD na wewe upo chini sana, ni shida...
halafu ujue hizo Levo wanapenda sana lugha zao za nyumbani....
Angalizo; Walio na phD hawajitangazi mapema...
Ni kweli kabisa mkuu,mume wangu mimi ana Phd but mara nyingi nikimwandikiaga msg za kiingereza yeye hujibu kwa kiswahili tangu tuko wachumba.
 
It doesn't matter bro,kutokujibu sms haijalishi kwamba hakusoma,ila pengine ni uamuzi,so you have to think positive before taking something as a reality,hala ktk Tanzania yetu hii ni vigumu kumkuta msichana ana PHD.
 
Inawezekana ni kweli ana phd.. Sasa inategemea phd ya mrengo gani.. Labda phd ya kunasa wanaume kama alivyokunasa ww.. Au phd ya uongopaji.n.k

PHD ya uongopaji,
buhaa ha ha ah ahaaa😀
 
wadau kuna msichana nimempata na aliniambia anaPHD lakin nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndo akapiga na kutaka tupige stori.wadau hapa kuna PHD kweli?

Kuweka sawa mambo sema hiyo PhD ni honorary au ya kuchangia knowledge. Kama ya ku-generate knowledge amesomea nchi gani, chuo kipi, mwaka upi, discipline ipi, topic ya thesis yake, na programme ilikuwa ya miaka mingapi.
 
Kuna mtu humu humu nchi ana uprofesa wa kilimo lakini hata scientific name moja ya mmea hajui..
 
Wadau,

Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.

Wadau hapa kuna PHD kweli?

kama anayo basi itakuwa PhD ya CHUP|. hebu mdadisi vizuri mkuu...inawezekana keshatumika sana. umemcheck chini bado kuko tight?
 
Huu ni ujinga mwingine. Kwan kila mwenye PhD Lazima ajue Kingereza??

Tatizo la wabongo, tunaamin kila anajua Kingereza ni msomi.
 
yani huyo anajitambua mpaka raha atakuwa ana phd ya historia na hivo hataki mabo ya utumwa wa lugha na ukoloni mamboleo. Nakumbuka dr lwaitama aliwaambia wahudumu wa ndege haelewei kingereza bali waongee kiswahili tu
 
Back
Top Bottom