Lmntrix
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 570
- 407
Huyo phD yake kama ya hemedi phd
Hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo phD yake kama ya hemedi phd
Wadau,
Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.
Wadau hapa kuna PHD kweli?
mangifera indika, loxodonta afrikana
HahahaWadau,
Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.
Wadau hapa kuna PHD kweli?
unafkr PhD ni kama ndevu ukibalekhe zinaota
Mpk hapa mroahivi kumbe kila mwenye PHD lazima awe na uwezo wa kuandika/kuongea kingereza?!!.vp wale waliosomea uchina,ufaransa russia nk?.
😭😭😭😁😁🙌utanikosesha mchumbaKumbuka kuna PhD ya kujamiiana pia. Hiyo kwa hapa JF anayo Mshangazi dot com Binti Sayuni03 na wengine.
Mchuchu, usianike mambo yetu wazi basi 😂Kumbuka kuna PhD ya kujamiiana pia. Hiyo kwa hapa JF anayo Mshangazi dot com Binti Sayuni03 na wengine.
Ndo nakutengenezea soko Kwa maana kuwa na PhD ya mapenzi ni ndoto ya Kila mwanamke.😭😭😭😁😁🙌utanikosesha mchumba
Nimeshindwa kujizuia, vile ambavyo unanisusia kunanichizisha.Mchuchu, usianike mambo yetu wazi basi 😂