Nakazia...[emoji419]Mkuu umepoteza energy kubwa kuandika maneno yote ungeandika tu hivi kwa ufupi "MPENZI NILIYEMTONGOZA MIAKA MINNE ILIYOPITA KUPITIA DATE SITE ALINIAMBIA NI BIKRA ILA BAADA YA MIAKA MINNE YA MAHUSIANO NIMEMKUTA SI BIKRA ,WAKATI SIKUWAHI KUFANYA NAE NGONO KWA NJIA YA KAWAIDA ZAIDI YA SEX PHONE"
Namtania....π€£π€£π€£Ulikuwa utoto ule ni muda umepita Mkuu....kila mtu ana mapito yake kwenye maisha yake haijalishi ya kitoto au ya kiutu uzima.
We kosoa uzi tuu mkuu
Tatizo kwenye dunia tuliyonayo wengi hutamani badala ya kupenda.Unakuwa haujampenda sasa. Ila unataka ucheze tu na akili yake umpe tamaa halafu umpotezee.
Na hii sio kwenye suala la bikra tu, watu wanadanganya hata majina, wanadanganya umri, kazi nk⦠wakijua hayo mahusiano hayafiki popote lakini unajikuta unaanza kumpenda kweli.
Na hii ni kwa jinsia zote.
Bikra ya wapi kwanza ππ!
So akaamua kuni kunionyesha kwamba hakuwa na namna zaidi ya kukubali kuwa alikuwa ana nidanganya tuuPole mkuu.
Kwenye mahusiano kuna hiki kitu.
Unapoanza mahusiano na mtu unaweza kumdanganya vitu vingi sana ukiamini siku sio nyingi utampotezea au hamtafika mbali mtaachana tu.
Lakini namna unaendelea kuwa na yule mtu unajikuta umempenda kweli na unajua ukimwambia ulimdanganya utamkosa, hii inasumbua sana.
Asante nimepoa sasa mkuu. Ila naumia ni miaka mingi imepotea nikiwa naye
Ya mbele Mkuu. Nyuma situmii kabisa ππBikra ya wapi kwanza ππ!
Kweli pole yake aseee
Dah!! Nimeipenda sana hii yaani ume fupisha na ume enda straight to the point. Asante sana nime ikubali hiiMkuu kumbe gazeti lote hilo aliloandika main points ndo hzo tu?[emoji23][emoji23]
Noma sana mkuu. Watoto wa siku hizi wanatumika sana πHpan sijasoma ila mm pia nimepigwa kitu kizito yaani kina Mika 18 napiga vidole vyote vinazmaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ππππ Nilikuwa nina mridhisha yeye sasa japo mimi nilikuwa na michepuko yangu pembeni kama kawaida MkuuAfu usijichekeshe chekeshe...........mtoto wa kiume na video sex.......????
Tukupime marinda dogo
Sasa kwanini mtu asiwe mkweli wakati hata akisema ukweli waweza mpenda na maisha yakaendelea?
Bora uambiwe kuwa haipo maisha yakaendelea kuliko kuambiwa ipo na mwisho wa siku ukakuta haipo!
Mkuu uongo siyo mzuri kabisa..Unakuwa haujampenda sasa. Ila unataka ucheze tu na akili yake umpe tamaa halafu umpotezee.
Na hii sio kwenye suala la bikra tu, watu wanadanganya hata majina, wanadanganya umri, kazi nk⦠wakijua hayo mahusiano hayafiki popote lakini unajikuta unaanza kumpenda kweli.
Na hii ni kwa jinsia zote.
Ana bahati alikutana na mkweli mkuu. Mimi mtoto wa kitanga alinipeleka choo cha KIKE. Siyo poaaa kabisa inaumaMwanangu story yako inaendana kopy na jamaa yangu hivi ki school
Sema yeye alikua na pisi kali kinyama afu nyeupeeeee
Alihangaika na yeye miaka mi4 yote
Siku asiyotegemea kbsa akapewa ale
Yaaah shemeji yetu alikua sealed kabisa!!
π― Mkuu nimejifunzaπ sio dawa ulijaa kwny mfumo, lkn sio issue, hatimae ulipiga na ulijifunza kitu.. now you know.
Miaka 4 unapambania kombe