Feminist wa kiume wamenishambulia humu balaa. Hua wanafanya huo unafki eti ili wapendwe na wanawake wa humuI salute you comrade with both left & right hands. Mm kitu huwa siwezi ku entertain ni kuhangaikia mtu tukatumie pesa zangu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Comment ya zamani hiyoAisee
Mkuu kumbe ni wewe uliandika hili?Feminist wa kiume wamenishambulia humu balaa. Hua wanafanya huo unafki eti ili wapendwe na wanawake wa humu
Moderator waliniumbua..Unajua kuchezea akili za watu na id nyingi Davinci
Sio Davinci ni Criston Cole πMkuu kumbe ni wewe uliandika hili?
Mama zako lknModerator waliniumbua..
Sio Davinci ni Criston Cole π
Ila kiuhalisia hua namisimamo mikali juu ya wanawake. Kwqngu mwanamke ni mwanamke tu hata awe na cheo au umri gani
Uache fujo basi mkuu tangu enzi za akina Bitoz zako ni fujo fujo tuπModerator waliniumbua..
Sio Davinci ni Criston Cole π
Ila kiuhalisia hua namisimamo mikali juu ya wanawake. Kwqngu mwanamke ni mwanamke tu hata awe na cheo au umri gani
Umri utarekebisha hili...umri/miaka/muda ni karakana nzuri sana...itakuchonga, tumetoka huko na sasa tuna mitazamo tofauti sanaNafaham hilo, nawaheshimu kwa hilo. Ila inapokuja suala la relationship hua ninamisimamo ya kikatili. Mungu ansaidieπ
But wanawake wenyewe hupenda maamuzi ya kikatili ukiwa soft kwao utaumia sana
Hujawahi kalishwa chini weweSema what happens in Vegas stay in Vegas. Hata awe 50yrs bado kwangu mi mwanamke tu, protocol za nature lazima zifuatwe
Vyote ni ubatili..Mkuu kua mpole na mtaratibu ni upumbavu hakuna faida. Ndio maana huu uzi niliuamdika Intentionally
NImekupa kichwa eeπHata hiyo nguvu ya kusema shikamoo hatoipata
ππMbichwa mkubwa sanaNImekupa kichwa eeπ