Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Sio Kila mbuzi analiwa

Utakula mbuzi wa kafara shauri zao

Halafu watu wanadhani kuwa kisa wewe ni mwanaume basi hupaswi kukataa mzigo huo UFALA WA KIWANGO STANDADI GEJI.

Sana wewe ni mwanaume lakini hujui hata thamani Yako. Huna pride ya kudefend sio heshima Yako, sio muda wako, sio akili Yako, Wala sio uume wako wewe ZOAZOA tu yeyote anakupa uchi we unazoa unafagia tu.

Huo udwanzi akili za kivulana MEN KNOW THEIR VALUES.
I must admit...nilimtamani tu huyo gal.
Lakini bado msimamo wangu uko palepale...Sipelekeshwi kihisia.
Napenda vitu vitembee naturally..I never force a thing.
 
Safi, hawa viumbe wakizingua hakuna kuwachekea.
Dragon for Dragon.
 
Huyu dogo namwambiaga ana akili za kitoto akanikasirikia eti nimemtukana,, 😂😂😂
If you're something of an ill-mannered malcontent then we'll lurking parallel. I do hope you're not one Kapeace
 
I must admit...nilimtamani tu huyo gal.
Lakini bado msimamo wangu uko palepale...Sipelekeshwi kihisia.
Napenda vitu vitembee naturally..I never force a thing.
Wakina junior hawa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watoto wa mboga saba bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuchomeshwa mahindi kawaida sana kwa mwanaume, wewe una element za ukike.
 
Huu ni uongo mtupu.
Prejudice & Bigotry.
MTOA MADA KUNA KITU HUJAKIJUA KHS WANAWAKE
a) Wanawake ni naturally born masters of manipulation,

b) Wanawake Ni naturally born emotional intelligence officers.

c) wanawake Ni naturally born masters of playing mind games

Namaanisha nn,
Wanawake Wanajua vizur jins ya kuchekecha akili zetu ili tuingie kwny mfumo wao wanaotaka, watucontroll na kutimiza malengo yao either ya kiuchumi,kimapenz n.k

Huyo mwanamke wako Ni manipulative in nature, anapenda sana michezo ya kucheza akili na attention ya mwanaume.

Kiuhalisia,
Ukiingia kwny mfumo wake Kama una roho nyepesi hutoboi nakuapia, atakutesa Sana kihisia maana anaenjoy kuona unataabika kwa ajili yake.

Ntalifafanua hili kutokana na mazingira ya Uzi wako ulivotiririka,

1. Binti keshafanya intelligence ya kutosha na kajua unapenda mazoezi, ka-time Muda muafaka mzur mtakaokutana na kweli mmekutana kwny viunga ulivyoelezea.

2. Akavaa kimazoezi kukutamanisha akijua kabisa wanaume ni dhaifu kwa mavazi yale, Tunatamani kwanza,mapenz huja baadae.

3. Cha haraka haraka akakuletea havar za mbususu kijanja akijua kabisa wanaume tuna udhaifu wa mbususu za burebure, akakutamanisha ili uingie kwny mfumo.

4. Ulipoingia kwny mfumo,
akafanya kusudi kukuzingua uku mkiendelea na mawasiliano ili uumie na kila saa umuwazie yeye, ukiwa na matumain ya kupewa siku nyngn

5. Siku nyngn tena akakunyima kusudi ili uzidi kukaa ukimuwazia yet Ili mapenz yako kwake yazidi kukolea

6. Alipoona umemblock, akajua ile mbinu yake haijatick, anapaswa kurudi square one. Apo ndipo alipokuja kwako ili mwende ukamchakate.

7. Umemzingua ukamfungia vioo,
Amejua kabisa umekasirika na ulipania sana, hajaacha kukutafuta Wala hatokoma kukutafuta nakwambia mkuu.

Caution:
[emoji117]Huyu Binti Yuko ktk misheni maalum,
[emoji117]Kama sio mapenz kakupenda anatafuta gia muanzishe mahusiano
[emoji117]Basi Atakua katumwa(Honeypot trap)

HUYU BINTI HATA UKIINGIA NAE KWNY MAHUSIANO, USISEME ULIMTONGOZA.

yeye ndo kakutongoza Wewe, maana anajua vzr kucheza na akili yako back&forth.

My take:
Never under estimate power of woman in mission, mwanamke akiamua Jambo lake huchomoki, otherwise uwe jasusi Kama yy au zaidi yake [emoji1431]
 
Mahaba yakikuzidia hata ukidanganywa utaendelea tu kushikilia kama chawa mwilini.
Mkuu mimi naudhaifu wa kutaka Ukweli tu. Yaani mtu akinidanganya hata kitu kidogo hua nasikia kuchanganyikiwa maana mimi ni mtu mmoja muelewa sana na nisie mind. Just niambie tu kwamba hiki haiwezekani nitaelewa haijalishi ni jambo kubwa namna gani . I'll just reply Sawa haina shida..
 
Mahaba yakikuzidia hata ukidanganywa utaendelea tu kushikilia kama chawa mwilini.
Mimi ni Stoic by nature so kupendwa au kupenda kwangu sio big deal. Sina hisia kwamba mtu ataniumiza moyo
 
Ukiwa mvuvi samaki akila chambo ndio part of the game.Hide and seek.Akila chambo ukisusa basi wewe sio mvuvi mahiri.Kuku anapewa mchele analiwa kwa wali.
Siku akiwa mjanja akikimbia na chambo unaacha kula kuku?
 
Back
Top Bottom