Alinikataa alipokuwa hana mtoto, kazalishwa sasa hivi ni mwepesi

Alinikataa alipokuwa hana mtoto, kazalishwa sasa hivi ni mwepesi

Wanawake aisee Mungu awape hustahimilivu mkubwa sana na jicho la kuona mbali saaana, maana najua changamoto ya wanawake wanashindwa kuchagua mtu sahii wanajikuta wanachakazwa na wakware mbalimbali then wanaishiwa kutupwa au kuachwa.

Ni binti flani wa mtaani kwetu kweli nilimpenda sana na nilikua na malengo kwa sababu ni mtu wa imani yangu nilimtongoza akawa ananiona boya tu kwa sababu alikua amefungasha madharau mengiii Mimi nika mute-nikapambana na issue zangu.

Nimekutana nae juzi hapa baada ya kupoteana nae kwa miaka zaidi ya 4 nikawa namchombeza amekua mwepesi sana yuko open sio mgumu kama kipindi kile madharau na kujiona yameisha kashazalishwa home na aliokua amewaona wa maana alafu sasahivi niliekataliwa kipindi hicho ndio nimuoe kweli?

View attachment 2331505View attachment 2331507

Namuonea huruma sana huyu binti maana sasahivi anaweza mkubalia mwanaume yoyote yule kisa kuoelewa.
Hapo anahitaji matunzo ya mtoto xo jipange ....

NB:kuoa mwanake mwenye mtoto nisawa na kuanza mechi ukiwa goli moja nyuma
 
Wanawake aisee Mungu awape hustahimilivu mkubwa sana na jicho la kuona mbali saaana, maana najua changamoto ya wanawake wanashindwa kuchagua mtu sahii wanajikuta wanachakazwa na wakware mbalimbali then wanaishiwa kutupwa au kuachwa.

Ni binti flani wa mtaani kwetu kweli nilimpenda sana na nilikua na malengo kwa sababu ni mtu wa imani yangu nilimtongoza akawa ananiona boya tu kwa sababu alikua amefungasha madharau mengiii Mimi nika mute-nikapambana na issue zangu.

Nimekutana nae juzi hapa baada ya kupoteana nae kwa miaka zaidi ya 4 nikawa namchombeza amekua mwepesi sana yuko open sio mgumu kama kipindi kile madharau na kujiona yameisha kashazalishwa home na aliokua amewaona wa maana alafu sasahivi niliekataliwa kipindi hicho ndio nimuoe kweli?

View attachment 2331505View attachment 2331507

Namuonea huruma sana huyu binti maana sasahivi anaweza mkubalia mwanaume yoyote yule kisa kuoelewa.
Wee kamle mbususu huyo atakupa tuu alafu unapita hivi🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom