Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Huyo mkojolee tu umuache na usingo maza wake... đź’©
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anahitaji matunzo ya mtoto xo jipange ....Wanawake aisee Mungu awape hustahimilivu mkubwa sana na jicho la kuona mbali saaana, maana najua changamoto ya wanawake wanashindwa kuchagua mtu sahii wanajikuta wanachakazwa na wakware mbalimbali then wanaishiwa kutupwa au kuachwa.
Ni binti flani wa mtaani kwetu kweli nilimpenda sana na nilikua na malengo kwa sababu ni mtu wa imani yangu nilimtongoza akawa ananiona boya tu kwa sababu alikua amefungasha madharau mengiii Mimi nika mute-nikapambana na issue zangu.
Nimekutana nae juzi hapa baada ya kupoteana nae kwa miaka zaidi ya 4 nikawa namchombeza amekua mwepesi sana yuko open sio mgumu kama kipindi kile madharau na kujiona yameisha kashazalishwa home na aliokua amewaona wa maana alafu sasahivi niliekataliwa kipindi hicho ndio nimuoe kweli?
View attachment 2331505View attachment 2331507
Namuonea huruma sana huyu binti maana sasahivi anaweza mkubalia mwanaume yoyote yule kisa kuoelewa.
Sio 3 tenaNimeoa niko na familia yangu, nimerudi maskani ndio nikakutana nae, sijakutana nae kwa miaka 4-5 sasa
Wee kamle mbususu huyo atakupa tuu alafu unapita hivi🤣🤣🤣🤣Wanawake aisee Mungu awape hustahimilivu mkubwa sana na jicho la kuona mbali saaana, maana najua changamoto ya wanawake wanashindwa kuchagua mtu sahii wanajikuta wanachakazwa na wakware mbalimbali then wanaishiwa kutupwa au kuachwa.
Ni binti flani wa mtaani kwetu kweli nilimpenda sana na nilikua na malengo kwa sababu ni mtu wa imani yangu nilimtongoza akawa ananiona boya tu kwa sababu alikua amefungasha madharau mengiii Mimi nika mute-nikapambana na issue zangu.
Nimekutana nae juzi hapa baada ya kupoteana nae kwa miaka zaidi ya 4 nikawa namchombeza amekua mwepesi sana yuko open sio mgumu kama kipindi kile madharau na kujiona yameisha kashazalishwa home na aliokua amewaona wa maana alafu sasahivi niliekataliwa kipindi hicho ndio nimuoe kweli?
View attachment 2331505View attachment 2331507
Namuonea huruma sana huyu binti maana sasahivi anaweza mkubalia mwanaume yoyote yule kisa kuoelewa.
Mbona unamkana mkeo Sasa.Nimeoa niko na familia yangu, nimerudi maskani ndio nikakutana nae, sijakutana nae kwa miaka 4-5 sasa
Huu ndio ukweli.Utafiti unaonyesha
Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kuoa mke wa mtu
Kwani papuchi nayo huwa ina cha L na R?Demu ata L na R hazijui wanini bwana.
Kwaajili Gani?Utafiti unaonyesha
Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kuoa mke wa mtu
Kwa nini umemsanua mkuuUkifika muda wa kuzaa atakuacha Tena, atarudi na mtoto wapili.
Uskae kipopoma mwanetu[emoji41]