Alinikataa kaja kunikubali baada ya kupata mtoto

Alinikataa kaja kunikubali baada ya kupata mtoto

sio utoto bosi.. si unaelewa tu wanawake hawa.. kumbuka kule nchini kwao nimesoma nae toka class five 2011 mpaka class eight 2014. ivi ni kweli kuoana
Kwan hapo tatizo lipo wapi? Status ya elim sio kigezo cha kukuzuia ww kuoana nae labda ungesema tabia na mienendo yake
 
Kwa ushauri wangu Sasa, dogo huyo mwanamke achana nae Wala usigonge kwa sababu alikukataa kipnd amenona Sasa ana majukum ya mtoto anataka umsaidie kulea,alikutosa kile kipnd inamaana Sasa hivi umekua handsome mpaka akupende Kuna kitu sio bure hao viumbe hawasogeagi kiboya,paamoja na kuongoza darasan lakin huyo manzi anakuzdi uwelewa Kama anakuambia akupe mtoto wakati hata k hujawahi kupga huko si kuonwa mjinga,usikubali huo ujinga utakuja kudhalililka halafu atasepa kwa wengine,tuishi nao kwa akili,
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada nilitokea kumpenda ghafla.. ilibidi nimwambie ukweli kuhusu hilo. ila alinikatalia na kunipotezea. pindi nilipomwambia kuhusu hilo swala ananichikia na kuniambia maneno yasiyofaa.. alikua mature enough.

Nilijizatiti kwa kipindi cha miaka miwili lakini sikufanikiwa kumpat.
mwaka 2015 nilimuacha huko nchini kwao nikarudi huku chini Tanzania na kuendelea na masomo yangu..
2016-2018 nilikuw nimemaliza elimu ya sekondari..o levo.

Siku moja ndani ya mwaka 2019 mwezi wa tatu. mama alikuwa ameenda katika biashara zake na bahati nzuri hakufanikiwa kurudi nyumbani .. muda ulienda ikabidi alale huko ajiandae na safari ya kurudi nyumbani kesho yake..

Alipokuwa kwenye ule mji.. alimkuta mdada mmoja mrefu mwembamba mweupe akiwa na mtoto mchanga akiwa pale anamnyonyeaha katoto kake keupe kazuri.. mama akamuulizia baba na mama wa familia ile(mji ule).. mama alizoea kuenda pale kupereka bidhaa zake pale..

Maongezi ya kujuana yaliendelea kwa dakika kadhaa.yule mdada alijitambulisha na kusema mimi naitwa fatuma .. natoka Nchi jirani.. kabila fulani..
mama akamuuliza tena.. '"unakaa wapi pale ......(mama alimuuliza sehemu ya mtaani kwao huku alikotoka).. kumbuka huko ndiko kwao mamaangu.

Mama akamuuliza tena.. umesoma shule gani pale (St Joseph's.. fatuma alijibu).. ""mmmmm.... jamani popote pale pana ndugu'" mama alisema maneno hayo baada ya kujua fatuma ni jirani yake kwa kule nchini kwao..

"" vip unamfahamu ngotho??"" mamaangu alimuuliza maana shule niliopelekwa ndo alisomea pia huyo fatuma..(yaani tumesoma shule moja)
"" ndiyo namfahamu, yeye ndo alikuwa akiongoza darasani kila mara, alikuwa mtulivu sana yule mkaka"" fatuma alijibu.
""mimi ndo mamaake ngotho""
mshangao ulikuw mkubwa sana baada ya fatuma kusikia swala hilo (mimi ndo maaamake)

Kesho yake kwenye saa nne asubuhi.. mama akanipigiia simu.. akaniuliza kama namfahamu fatuma. Nikamuuliza (fatuma gani unaongelea mama??) mama akampa simu .. sikuamini mpaka pale nilipoisikia sauti yake na kunikumbusha mambo ya nyuma ikiwemo kuhusu ..nilivokuwa naongoza darasani.

Kuanzia hapo mazungumzo yalipamba moto, kwan nilikuwa nikikumbuka uzuri wake kipindi tunasom, nikijua bado yupo vilevile. siku baada ya siku tuliwasiliana .

Ulipofika mwezi wa saba 2019 . nilisitisha mawasiliano kwa sababu niliingia shuleni na kuanza elimu ya advance.. naye akarudi kwao.. nchini kwao. .hapo tayari nishajua ana mtoto .. tena ni wa kike ndani ya miaka miwili hatuongei wala nini..
mwaka huu mwezi wa tano baada ya kumaliza shule.. kidato cha sita ..
nikaja huku dareselam kwa mjomba..

Tarehe 22/7/2021. ilikuwa saa moja jioni. nikaona namba ngeni ikipiga..
nilipokea ile simu na kutulia bila kuongea.. naye alitulia bila kupiga ""ellow"" kwa sekunde kama kumi na tano.
nikakata samu.. akapiga tena .. nilivopokea akaanza kufkoka..( we mbona unapokea simu ya halafu huongei??) daah.. nikasikia sauti ta kike.. nikasema..
samahani dada.. namba ngeni naomba ujitambulishe..

Alijibu kwaakasema ""Mungu akipanga binadamu hawezi kupangua"" alijibu kwa maneno hayo akataj jina lake kwa kuhesabu herufi za jina lake.. ""FA
TU MA""

Ndugu zangu nilifirahi hasa pale aliponiambia et yupo dareselam. .. kuna shule ya mtu binafsi amepata fursa ya kufundisha hapo...

Huyu mdada ananipenda kweli .. yaan kweli..
cha kushangaza ananiambia kuhusu uchumba .. et ananiomba msamaha kwa kunikatalia miaka ya(2012-2014) akijitetea eti bado hakuwa mature to engage kwenye mahusiano..

Lakini kwa sasa ana mtoto mmoja japo amemuacha huko kwao ana bibi yake..
wiki iliyopita aliniuliza kuhusu mamaang.. (vip my, mama hajambo? Naomba namba zake nimsalimie mamaang huyo.) bila shaka nilimpa na waliongea.
juzi jumamosi akaniuliza..
( vip mpenzi wangu.. mama anajua nini kuhusu mimi na wewe??)?

Wakuu.. huyu mdada yupo tayari kukutana na mimi muda wowote.. maana kilani ninachomwambiA hajawahi kukataa..
wiki iliyopita nilimwambia tukutane weekend, alikubali kwa roho safi ila cha ajabu pesa ilinipiga chenga maana tunakaa mbali kidogo hapa dareselam..

Ukiangalia, ndo kwanza naingia chuo mwezi wa kumi mwaka huu.. najiuliza vip baada ya miaka mitatu c atakuwa mmama kabisa??

Yeye anasema tuvumiliane maana amekubali kunivumilia mpaka nimalize chuo.. yaani mpaka 2024.
anasema et nimwambie mamaangu et yule mtoto ni wangu ili ikitokea tumeoana.. taarifa isijulikane mno.
wakuu naombeni ushauri juu ya huyu mdada..
natanguliza shukran..
daaa! unaelekea kununua shamba lenye mgogoro
 
Nakumbuka mwaka fulani nilikua nasoma chuo kimoja hapa nchini, nilimpenda msichana mmoja sana tumpe jina (Mia), bahati mbaya nilisotea mno akawa ananipiga chenga mara hivi mara vile hata tunda sikuwahi kupewa, basi bwana yeye akaamua kwenda kujiendeleza kimasomo huko dar, akakutana na mtoto wa askofu maarufu sana akalaghaiwa akaliwa tunda kimasihara,wakati huo mimi nipo kagera nafanya kazi, baada ya huyo sharobaro kujua amemjaza mimba akamwambia mia atoe hiyo mimba, la kusikitisha zaidi hata baba wa huyo kijana (Askofu) alimfuata mia na kumshauri atoe maana italeta aibu kanisani kwake, baada ya kumsonga sana na hofu juu ya Mama yake ambaye ni mlokole sana, Mia akaamua kutoroka na kwenda Tabora kulea mtoto wake, siku moja naona mtu ananitext facebook,

Cut story short, ni hivi alitaka turudiane, bila kupepesa macho nilikataa maana kama alinipenda kweli angenikubali tangu mwanzo, siyo sahivi nije kuwa baba wa mtoto haramu...
 
Hebu muonane kwanza na mjuane vizuri, huo uchumba wa kuongea kwenye simu ni wa kwenye tamthilia za kifilipino tu, mziache hukohuko. Pia una mpango gani wa maisha baada ya form six?
 
Anajua we ni lijinga ndo maana anakupanga
Mafara kama nyie ndo waga mnaumizwa kwenye mapenzi
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada nilitokea kumpenda ghafla.. ilibidi nimwambie ukweli kuhusu hilo. ila alinikatalia na kunipotezea. pindi nilipomwambia kuhusu hilo swala ananichikia na kuniambia maneno yasiyofaa.. alikua mature enough.

Nilijizatiti kwa kipindi cha miaka miwili lakini sikufanikiwa kumpat.
mwaka 2015 nilimuacha huko nchini kwao nikarudi huku chini Tanzania na kuendelea na masomo yangu..
2016-2018 nilikuw nimemaliza elimu ya sekondari..o levo.

Siku moja ndani ya mwaka 2019 mwezi wa tatu. mama alikuwa ameenda katika biashara zake na bahati nzuri hakufanikiwa kurudi nyumbani .. muda ulienda ikabidi alale huko ajiandae na safari ya kurudi nyumbani kesho yake..

Alipokuwa kwenye ule mji.. alimkuta mdada mmoja mrefu mwembamba mweupe akiwa na mtoto mchanga akiwa pale anamnyonyeaha katoto kake keupe kazuri.. mama akamuulizia baba na mama wa familia ile(mji ule).. mama alizoea kuenda pale kupereka bidhaa zake pale..

Maongezi ya kujuana yaliendelea kwa dakika kadhaa.yule mdada alijitambulisha na kusema mimi naitwa fatuma .. natoka Nchi jirani.. kabila fulani..
mama akamuuliza tena.. '"unakaa wapi pale ......(mama alimuuliza sehemu ya mtaani kwao huku alikotoka).. kumbuka huko ndiko kwao mamaangu.

Mama akamuuliza tena.. umesoma shule gani pale (St Joseph's.. fatuma alijibu).. ""mmmmm.... jamani popote pale pana ndugu'" mama alisema maneno hayo baada ya kujua fatuma ni jirani yake kwa kule nchini kwao..

"" vip unamfahamu ngotho??"" mamaangu alimuuliza maana shule niliopelekwa ndo alisomea pia huyo fatuma..(yaani tumesoma shule moja)
"" ndiyo namfahamu, yeye ndo alikuwa akiongoza darasani kila mara, alikuwa mtulivu sana yule mkaka"" fatuma alijibu.
""mimi ndo mamaake ngotho""
mshangao ulikuw mkubwa sana baada ya fatuma kusikia swala hilo (mimi ndo maaamake)

Kesho yake kwenye saa nne asubuhi.. mama akanipigiia simu.. akaniuliza kama namfahamu fatuma. Nikamuuliza (fatuma gani unaongelea mama??) mama akampa simu .. sikuamini mpaka pale nilipoisikia sauti yake na kunikumbusha mambo ya nyuma ikiwemo kuhusu ..nilivokuwa naongoza darasani.

Kuanzia hapo mazungumzo yalipamba moto, kwan nilikuwa nikikumbuka uzuri wake kipindi tunasom, nikijua bado yupo vilevile. siku baada ya siku tuliwasiliana .

Ulipofika mwezi wa saba 2019 . nilisitisha mawasiliano kwa sababu niliingia shuleni na kuanza elimu ya advance.. naye akarudi kwao.. nchini kwao. .hapo tayari nishajua ana mtoto .. tena ni wa kike ndani ya miaka miwili hatuongei wala nini..
mwaka huu mwezi wa tano baada ya kumaliza shule.. kidato cha sita ..
nikaja huku dareselam kwa mjomba..

Tarehe 22/7/2021. ilikuwa saa moja jioni. nikaona namba ngeni ikipiga..
nilipokea ile simu na kutulia bila kuongea.. naye alitulia bila kupiga ""ellow"" kwa sekunde kama kumi na tano.
nikakata samu.. akapiga tena .. nilivopokea akaanza kufkoka..( we mbona unapokea simu ya halafu huongei??) daah.. nikasikia sauti ta kike.. nikasema..
samahani dada.. namba ngeni naomba ujitambulishe..

Alijibu kwaakasema ""Mungu akipanga binadamu hawezi kupangua"" alijibu kwa maneno hayo akataj jina lake kwa kuhesabu herufi za jina lake.. ""FA
TU MA""

Ndugu zangu nilifirahi hasa pale aliponiambia et yupo dareselam. .. kuna shule ya mtu binafsi amepata fursa ya kufundisha hapo...

Huyu mdada ananipenda kweli .. yaan kweli..
cha kushangaza ananiambia kuhusu uchumba .. et ananiomba msamaha kwa kunikatalia miaka ya(2012-2014) akijitetea eti bado hakuwa mature to engage kwenye mahusiano..

Lakini kwa sasa ana mtoto mmoja japo amemuacha huko kwao ana bibi yake..
wiki iliyopita aliniuliza kuhusu mamaang.. (vip my, mama hajambo? Naomba namba zake nimsalimie mamaang huyo.) bila shaka nilimpa na waliongea.
juzi jumamosi akaniuliza..
( vip mpenzi wangu.. mama anajua nini kuhusu mimi na wewe??)?

Wakuu.. huyu mdada yupo tayari kukutana na mimi muda wowote.. maana kilani ninachomwambiA hajawahi kukataa..
wiki iliyopita nilimwambia tukutane weekend, alikubali kwa roho safi ila cha ajabu pesa ilinipiga chenga maana tunakaa mbali kidogo hapa dareselam..

Ukiangalia, ndo kwanza naingia chuo mwezi wa kumi mwaka huu.. najiuliza vip baada ya miaka mitatu c atakuwa mmama kabisa??

Yeye anasema tuvumiliane maana amekubali kunivumilia mpaka nimalize chuo.. yaani mpaka 2024.
anasema et nimwambie mamaangu et yule mtoto ni wangu ili ikitokea tumeoana.. taarifa isijulikane mno.
wakuu naombeni ushauri juu ya huyu mdada..
natanguliza shukran..
Dogo soma kwanza acha huo ujinga.
 
Inakua " hakuna namna" alikotarajia kumebuma Sasa no way
 
Kwa ushauri wangu Sasa, dogo huyo mwanamke achana nae Wala usigonge kwa sababu alikukataa kipnd amenona Sasa ana majukum ya mtoto anataka umsaidie kulea,alikutosa kile kipnd inamaana Sasa hivi umekua handsome mpaka akupende Kuna kitu sio bure hao viumbe hawasogeagi kiboya,paamoja na kuongoza darasan lakin huyo manzi anakuzdi uwelewa Kama anakuambia akupe mtoto wakati hata k hujawahi kupga huko si kuonwa mjinga,usikubali huo ujinga utakuja kudhalililka halafu atasepa kwa wengine,tuishi nao kwa akili,
Sio kuonwa mjinga mpaka hapo ni mjinga unapewaje mtoto wakati k hujaiona. Dogo ana dreem. Amka uje kwenye real kife
 
Wewe Dogo umezidiwa akili sna na uyo mwanamke

Hapa yatakua yanaingilia sikio la kulia na kutokea kushoto

Yani wew akili itakukaa sawa ukipigwa tukio tu

Ni stage ya ukuaji
 
Huyo bimdada kakuzidi vingi, kwanza uwiano wa umri wenu sio saizi yako! Mkeo wa saizi yako ni mwanafunzi aliyekuwa la kwanza wakati wewe ukiwa STD VII, Huyo wa kusoma nae darasa moja kishakupita mbali!
Waulize waliooa Classmates watakwambia!
Pia kulingana na mazingira yako ya uanafunzi ikiwa hata chuo tu bado hujaanza, nakushauri piga kwanza kitabu huyo mwache aende zake, kama una usongo nae sana kwamba wataka kutest ladha, basi fanya hivyo lakini kumbuka aonjaye asali huchonga mzinga!
Athari zake utaanza kuziona utakampatia ujauzito, waweza jikuta katika stress ambazo ungeweza kabisa kuziepuka!
Kusoma huku unatumikia familia na tena mtu mwenyewe wewe bado ni tegemezi unajitakia taabu ufaulu hafifu wa kununua kwa bei chee!
 
Dogo, hebu nenda kwanza usome na umalize chuo, utafute kazi na kupata hela zako.

Kama ni mapenzi ndio kwanza unaenda kuyaanza.

Chuo kuna watoto visu kweli kweli, na watakupenda saana tu, na huyo Mmama utamsahau ndan ya miez 2, ya nini kuingia maagano ambayo utajutia?!!,.

Nikuambie tu ukweli.

Nikiwa kama ww nilikuwa sina hata girlfriend , sembuse ww unataka kupewa mke na mtot kabisaa, he??.

Hebu tuliza akili.

NB; wanaoshauri ule mbususu , ndio utajuta kabisaa maana utabambikiwa either mtoto au hela ya boom mgawane na huyo mdada.

Usiguse mbususu yake kamwe.

Ni hayo tu
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada nilitokea kumpenda ghafla.. ilibidi nimwambie ukweli kuhusu hilo. ila alinikatalia na kunipotezea. pindi nilipomwambia kuhusu hilo swala ananichikia na kuniambia maneno yasiyofaa.. alikua mature enough.

Nilijizatiti kwa kipindi cha miaka miwili lakini sikufanikiwa kumpat.
mwaka 2015 nilimuacha huko nchini kwao nikarudi huku chini Tanzania na kuendelea na masomo yangu..
2016-2018 nilikuw nimemaliza elimu ya sekondari..o levo.

Siku moja ndani ya mwaka 2019 mwezi wa tatu. mama alikuwa ameenda katika biashara zake na bahati nzuri hakufanikiwa kurudi nyumbani .. muda ulienda ikabidi alale huko ajiandae na safari ya kurudi nyumbani kesho yake..

Alipokuwa kwenye ule mji.. alimkuta mdada mmoja mrefu mwembamba mweupe akiwa na mtoto mchanga akiwa pale anamnyonyeaha katoto kake keupe kazuri.. mama akamuulizia baba na mama wa familia ile(mji ule).. mama alizoea kuenda pale kupereka bidhaa zake pale..

Maongezi ya kujuana yaliendelea kwa dakika kadhaa.yule mdada alijitambulisha na kusema mimi naitwa fatuma .. natoka Nchi jirani.. kabila fulani..
mama akamuuliza tena.. '"unakaa wapi pale ......(mama alimuuliza sehemu ya mtaani kwao huku alikotoka).. kumbuka huko ndiko kwao mamaangu.

Mama akamuuliza tena.. umesoma shule gani pale (St Joseph's.. fatuma alijibu).. ""mmmmm.... jamani popote pale pana ndugu'" mama alisema maneno hayo baada ya kujua fatuma ni jirani yake kwa kule nchini kwao..

"" vip unamfahamu ngotho??"" mamaangu alimuuliza maana shule niliopelekwa ndo alisomea pia huyo fatuma..(yaani tumesoma shule moja)
"" ndiyo namfahamu, yeye ndo alikuwa akiongoza darasani kila mara, alikuwa mtulivu sana yule mkaka"" fatuma alijibu.
""mimi ndo mamaake ngotho""
mshangao ulikuw mkubwa sana baada ya fatuma kusikia swala hilo (mimi ndo maaamake)

Kesho yake kwenye saa nne asubuhi.. mama akanipigiia simu.. akaniuliza kama namfahamu fatuma. Nikamuuliza (fatuma gani unaongelea mama??) mama akampa simu .. sikuamini mpaka pale nilipoisikia sauti yake na kunikumbusha mambo ya nyuma ikiwemo kuhusu ..nilivokuwa naongoza darasani.

Kuanzia hapo mazungumzo yalipamba moto, kwan nilikuwa nikikumbuka uzuri wake kipindi tunasom, nikijua bado yupo vilevile. siku baada ya siku tuliwasiliana .

Ulipofika mwezi wa saba 2019 . nilisitisha mawasiliano kwa sababu niliingia shuleni na kuanza elimu ya advance.. naye akarudi kwao.. nchini kwao. .hapo tayari nishajua ana mtoto .. tena ni wa kike ndani ya miaka miwili hatuongei wala nini..
mwaka huu mwezi wa tano baada ya kumaliza shule.. kidato cha sita ..
nikaja huku dareselam kwa mjomba..

Tarehe 22/7/2021. ilikuwa saa moja jioni. nikaona namba ngeni ikipiga..
nilipokea ile simu na kutulia bila kuongea.. naye alitulia bila kupiga ""ellow"" kwa sekunde kama kumi na tano.
nikakata samu.. akapiga tena .. nilivopokea akaanza kufkoka..( we mbona unapokea simu ya halafu huongei??) daah.. nikasikia sauti ta kike.. nikasema..
samahani dada.. namba ngeni naomba ujitambulishe..

Alijibu kwaakasema ""Mungu akipanga binadamu hawezi kupangua"" alijibu kwa maneno hayo akataj jina lake kwa kuhesabu herufi za jina lake.. ""FA
TU MA""

Ndugu zangu nilifirahi hasa pale aliponiambia et yupo dareselam. .. kuna shule ya mtu binafsi amepata fursa ya kufundisha hapo...

Huyu mdada ananipenda kweli .. yaan kweli..
cha kushangaza ananiambia kuhusu uchumba .. et ananiomba msamaha kwa kunikatalia miaka ya(2012-2014) akijitetea eti bado hakuwa mature to engage kwenye mahusiano..

Lakini kwa sasa ana mtoto mmoja japo amemuacha huko kwao ana bibi yake..
wiki iliyopita aliniuliza kuhusu mamaang.. (vip my, mama hajambo? Naomba namba zake nimsalimie mamaang huyo.) bila shaka nilimpa na waliongea.
juzi jumamosi akaniuliza..
( vip mpenzi wangu.. mama anajua nini kuhusu mimi na wewe??)?

Wakuu.. huyu mdada yupo tayari kukutana na mimi muda wowote.. maana kilani ninachomwambiA hajawahi kukataa..
wiki iliyopita nilimwambia tukutane weekend, alikubali kwa roho safi ila cha ajabu pesa ilinipiga chenga maana tunakaa mbali kidogo hapa dareselam..

Ukiangalia, ndo kwanza naingia chuo mwezi wa kumi mwaka huu.. najiuliza vip baada ya miaka mitatu c atakuwa mmama kabisa??

Yeye anasema tuvumiliane maana amekubali kunivumilia mpaka nimalize chuo.. yaani mpaka 2024.
anasema et nimwambie mamaangu et yule mtoto ni wangu ili ikitokea tumeoana.. taarifa isijulikane mno.
wakuu naombeni ushauri juu ya huyu mdada..
natanguliza shukran..
Yaani umekosa majina ya kuigiza hadi ukatumia jina langu?Unahitaji viboko. Well, my advice is very clear. Nenda shule. Kama ukiona unawashwawashwa basi Muombe Mungu akupe mke na uoe. Acha zinaa. Wewe bado una ujinga wa utoto. Nevertheless, single mothers ni akina dada ambao walifanya ngono bila condom huku wakiwa kwenye siku hatari. Mtu pekee wa kumyooshea kidole single mother ni yule ambaye ni bikra, aliolewa na bikra, au bikra yake ilitolewa kwa kubakwa na wabakaji.
 
Ndio maana siku hizi vijana wanaisha mafupi Sana,Mambo madogo Kama haya wanashindwa kuyapambanua.
Huyo mwanamke Ni hatari kwa uhai wako achana nae.
 
Yeye anasema tuvumiliane maana amekubali kunivumilia mpaka nimalize chuo.. yaani mpaka 2024.

Dogo nenda kajichanganye na mabinti wa chuo. Kaka zako senior-bachelors lakini hatutaki single-mothers wa aina hiyo.

Chuo huko tafuta katoto kazuri muyajenge.
 
Hawa wanafunz wanatoroka vipindi vya jioni na tuttion wanaingia JF na kutupostia utoto humu, kuna sababu ya JF kuanza kufyeka watu ambao wanaarbu dhana ya Great thinkers[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada
Kijana wa Dareselam umesoma comb gani huko advance?
 
Back
Top Bottom