DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Umaskin ndo unasababishaga unamlilia demu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaona haitoshi Hadi uanzishe UziKuna watu wana vituko kabisa. Yaani Kuna Jamaa mmoja tulikutane naye hapa Hapa JF baada ya kuomba msaada jinsi gani Ninaweza kurudisha ex wangu. Jamaa alinifata inbox kunipa ushauri eti mwanamke halazimishwi. Eti achana naye
Dah nikaona Huyu Jamaa anafaa saana kuwa rafiki yangu Kweli tulikwenda mpaka Whatsapp tukawa marafiki. Cha ajabu Jamaa siku hizi ananiomba ushauri eti yeye Na mpenzi wake mausiano yamepata pacha Sasa Jamaa anajaribu kulazimisha mtoto eti mtoto arudi lakini demu kagoma ndo nimekuja kutambua dah Kuna watu ambao wanajiamini mbele za watu ila wakiwa ndani wanalia kama watoto wadogo.
I'm sorry ndugu yangu sijataja jina lako HAPA ila najua upo nataka hii iwe Funzo kwa wengine mapenzi yanauma bwana.
HahahaKuna watu wana vituko kabisa. Yaani Kuna Jamaa mmoja tulikutane naye hapa Hapa JF baada ya kuomba msaada jinsi gani Ninaweza kurudisha ex wangu. Jamaa alinifata inbox kunipa ushauri eti mwanamke halazimishwi. Eti achana naye
Dah nikaona Huyu Jamaa anafaa saana kuwa rafiki yangu Kweli tulikwenda mpaka Whatsapp tukawa marafiki. Cha ajabu Jamaa siku hizi ananiomba ushauri eti yeye Na mpenzi wake mausiano yamepata pacha Sasa Jamaa anajaribu kulazimisha mtoto eti mtoto arudi lakini demu kagoma ndo nimekuja kutambua dah Kuna watu ambao wanajiamini mbele za watu ila wakiwa ndani wanalia kama watoto wadogo.
I'm sorry ndugu yangu sijataja jina lako HAPA ila najua upo nataka hii iwe Funzo kwa wengine mapenzi yanauma bwana.
Hahaha😅😅😅mapenzi hatar sana we acha eti kumove on
Kuna jamaa kipind tuko chuo mwaka wa tatu alisikia demu wake kaolewa maana alikuwa mtaani jmaa tulimkandia nachat nae ananitumia viemojs vya kucheka kwamba hana mpango nae eti nishamove on
Wiki kadhaa mbele watu wamevunja mlango alikuwa anataka kujinyonga usia kashaandika yule demu ndo tatizo kwa nn amuache