Alinipa namba tunachat ila Kila nikimpanga tukutane analeta dharula

Alinipa namba tunachat ila Kila nikimpanga tukutane analeta dharula

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
 
Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao

Yaw yaw
 
Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
Mpe hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
Haya makitu achana nayo jaribu kilimo naona kinakufaa zaidi
 
Aje wapi sasa unamuitaje ukute ndipo unapofeli..
Mualike muende out sehemu nzuri kwa dinner kama bado hujafanya hivyo.
Isije kuwa unamuita sehemu ya mtaani hapo kwenye pub hajiiiii ng'ooo.
Huo ushauri wa mlioko mjini..ebu toa ushauri kwa tulioko vijijini na pisi zetu za kienyeji.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom