Alinipa namba tunachat ila Kila nikimpanga tukutane analeta dharula

Alinipa namba tunachat ila Kila nikimpanga tukutane analeta dharula

Hivi ni lazima umwambie njoo tuonane sehemu fulani nina mazungumzo na wewe? Hapo lazima ashajua lazima uwe na lugha laini laini kidogo...umchombeze mtoto weekens hii twenzetu tukapige misele...atauliza wapi..unamwambia sehemu sehemu amazing...😀😀😀 lazima aingie kingi...
 
Sijui wanapata faida gani
Mwanamke ambae hasumbui huwa anaheshimiwa ila yule anaosumbua sana ndio huwa anapata mapigo, siwez kukutendea baya kama uko peace

*Kumbe na nyie mnakuwaga na ma crush hebu mtaje
 
Mwanamke ambae hasumbui huwa anaheshimiwa ila yule anaosumbua sana ndio huwa anapata mapigo, siwez kukutendea baya kama uko peace

*Kumbe na nyie mnakuwaga na ma crush hebu mtaje
Ni kweli mtu msumbufu anaboa, ila ni busara kutemana nae kama unaona anazingua kuliko kumtendea jambo la kumuumiza moyo.
Hapa naongelea sehemu zote sio tu kwenye mambo ya mapenzi.

Crush? Hahaa ngoja nitarudi
 
Back
Top Bottom