Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
HUyu mlokole bhanasafi kabisa, mizinga wapigeni akina National Anthem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUyu mlokole bhanasafi kabisa, mizinga wapigeni akina National Anthem
mzabzab aliyechangamka uyo National AnthemHUyu mlokole bhana
Sijawahi kuishi hayo mazingira kwahiyo sina uelewa huwa wanafanyaje huko. Lakini process ni zile zile mtoe sehemu tofauti na mtaani sema huko mtaenda wapi sijui dah[emoji3].Huo ushauri wa mlioko mjini..ebu toa ushauri kwa tulioko vijijini na pisi zetu za kienyeji.
#MaendeleoHayanaChama
🤣🤣🤣mzabzab aliyechangamka uyo National Anthem
Badili formation tumia 4-2-1-3 hii hajawahi kuiacha timu pinzani salama..!Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
🤠🤠🤠 Maisha ndio haya haya, ila mzabzab kazidi simuwei.. Sema sasa hivi kashikwa mawardat janjaa yake yote imeishamzabzab aliyechangamka uyo National Anthem
🤠🤠🤠 Kuna watu wapo kikazi humu.. Kuna member mmoja humu tulikuwa wana kinoma akanivuta hadi pm kakomaa nimtumie picha nikamtumia picha za marehemu akapotea sijui anahisi alikamilisha kazi 😂😂😂😂 Jf usiamini mtuizi IDs, basi tu, tangu ijulikane Beatrice Kamugisha alikua dume, sina hamu
Huyo beatrice ndio nan 😂 alikuwa humu?izi IDs, basi tu, tangu ijulikane Beatrice Kamugisha alikua dume, sina hamu
hahahaha qmmmqnikamtumia picha za marehemu
yep, ilikua mwaka juzi ivi kama sikosei, hata ID yake siioni tenaHuyo beatrice ndio nan 😂 alikuwa humu?
🤠🤠🤠 Alifikiri mie wa kuja, akamsake marehemu sasahahahaha qmmmq
hahahaha🤠🤠🤠 Alifikiri mie wa kuja, akamsake marehemu sasa
😂😂😂 sijapotea mkuu🤠🤠🤠 Kuna watu wapo kikazi humu.. Kuna member mmoja humu tulikuwa wana kinoma akanivuta hadi pm kakomaa nimtumie picha nikamtumia picha za marehemu akapotea sijui anahisi alikamilisha kazi 😂😂😂😂 Jf usiamini mtu
🤠🤠🤠🤠🤠 Sio mimi mkuu, una uhakika ni ID hii hii😂😂😂 sijapotea mkuu
Narudi tukamilishe uwana
Ndiyo🤠🤠🤠🤠🤠 Sio mimi mkuu, una uhakika ni ID hii hii
Haya mkuu, ebu nitumie picha nione kama ni wewe 🤠🤠Ndiyo
Daah watu mna roho mbayaMpeleke out for dinner au Lunch kama ni week-end, sehemu iwe tofauti na unapoishi ajiskie yuko safe then lazima umrudishe huko unakotaka ujipigie, ukishapiga FUTA NAMBA KAA KIMYA uone nani atasumbuka sasa