Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
Mpe helaNdugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
NDIOHivi kumpenda mtu ni lazima umkule?
Kupenda/mapenzi ni hisia na hisia hupelekea pia hamu ya tendoSawa
Bas komaaKupenda/mapenzi ni hisia na hisia hupelekea pia hamu ya tendo
Sasa nitakupenda vipi na nisikukule?umekuwa Tv niwe naishia kukuangalia tu?
Haya makitu achana nayo jaribu kilimo naona kinakufaa zaidiNdugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila nikimpanga tukutane analeta sababu kibao
NDIO ya piliHivi kumpenda mtu ni lazima umkule?
š¤£kupiga msasa umestaafu?NDIO ya pili
ah wapi, nimekamilisha cha pili mda mfupi uliopitaš¤£kupiga msasa umestaafu?
Acha bhanaah wapi, nimekamilisha cha pili mda mfupi uliopita
cha mwisho saa 3-4 usiku
Huo ushauri wa mlioko mjini..ebu toa ushauri kwa tulioko vijijini na pisi zetu za kienyeji.Aje wapi sasa unamuitaje ukute ndipo unapofeli..
Mualike muende out sehemu nzuri kwa dinner kama bado hujafanya hivyo.
Isije kuwa unamuita sehemu ya mtaani hapo kwenye pub hajiiiii ng'ooo.
safi kabisa, mizinga wapigeni akina National AnthemAcha bhana
Labda mzinga wa nzi, maana wa nyuki wenyewe hawapati bora nirambe asališ¤ š¤safi kabisa, mizinga wapigeni akina National Anthem
hahahahaLabda mzinga wa nzi, maana wa nyuki wenyewe hawapati bora nirambe asališ¤ š¤