Ndio mawazo kama haya yanawatesa binti zetu sasa, hata akili hazifanyi kazi tena kama hivi.Sema mwanamke akiwa na ndoa imara na yenye Amani anapendeza hata kwa macho.
Ndoa kwa mwanamke Ina play role kubwa
Naunga mkono hoja hiiJiondokee hapo ila mwambie mama yake ukweli, yeye usimtafute, kama anakuhitaji anapajua kwenu alipotoa mahari.
Ndio mawazo kama haya yanawatesa binti zetu sasa, hata akili hazifanyi kazi tena kama hivi.
Akili ya Mwanaume mmoja mlevi ni sawa na wanawake watatu wenye PhD sasa imagin huyu mwanamke 4m4 failure...?Asilimia 99.9% ya wanawake wote duniani hawana akili.
Wanawake bhana......Baada ya kuacha kazi, alinipeleka kwao, lakini kufika aliniambia kuwa kwa kuwa bado sijatambulishwa rasmi, atanitambulisaha kama binti wa kazi (housegirl) na si mpenzi wake.
..... Kwa kuwa tayari nilishaacha kazi na nilikuwa tayari kwao, nilikubali. Nikafika na akanitambulisha kwa mama yake na ndugu zake kama binti wa kazi.
Copy and PasteCopy and pest
Kama ni hivyo,Mbona ashaambiwa asepe chap?.We nae umezingua.
Ulikosea ulipokubali kuacha kazi na kutambulishwa kama housegirl.
Ila ngojea,au jamaa anataka kuku suprise!??
Isije ikawa wazee wamefika kwenu kimya kimya kumbe mchumba mwenyewe ni wewe huyo huyo!?
Kuna muda wanaume wanakuwam makatili sanapole kwa kupoteza muda wako.