Alinipiga mizinga nikaambulia zero, eti sasa anaanza kunitafuta

Alinipiga mizinga nikaambulia zero, eti sasa anaanza kunitafuta

Cosovo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
667
Reaction score
1,810
Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi, licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa.

Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi.

Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa.

Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea.

Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia, naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine.

Namjibu hamna ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko.

Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
 
Wasichana bhanah!. 😂

Eti umeshanisaliti? As if you are dating her. Muambie ndiyo, nimetembea na wengi lakini nawe kama umekileta, nitaikuna niangalie kama unafaa kuwa mke.

Achana na huyo mpuuzi. Anataka kukupiga vizinga tu bure Mkuu.
 
Sikushauri kurudisha majeshi au furaha kwake, kama utaweza mwambie amechelewa sana maana umepata anaekupenda na kukujali.
 
Mkuu kupewa tunda sio ticket ya kupendwa kikubwa samehe na kusahau yaliyopita mruhusu aingie kwenye mfumo wa maisha yako ila nakazia mwanamke akikupenda lazima atafanya mambo kua mepesi kati yenu hatotaka chochote kikubwa kutoka kwako zaidi ya muda wako tu!!

Kama unataka mfike mbali kimapenzi usimpe hela mwanamke bali mchangie anapopingukiwa na usitoe 50+% hata siku moja
 
Jifanye boya akikupiga kizinga ruka kwa akili tengeneza mazingira umtafune kisela uku ukimskilizia. Kiujumla huyo demu ni mdangaji tu kaona kadanga yanaruka anarudi kwako kukufanya kibubu
 
Wewe ndo wale wanaimbwa 'babu jinga'.

Au wale wahuni wakikuona kazini wanakwambia 'fanya kazi Malaya ale'..

Endelea kum entertain labda Kodi imepungua
Karudi kwako 'babu jinga'
Hahahah imebidi nicheke
 
Huyo uampiga papuchi na ...... then unamwacha
 
Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa

Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine

Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa a au ana mishe nyingine kwangu
Shtuka huyo ni mpigaji kma gwajima,yani anakuona wewe bonge la fala
 
Back
Top Bottom