Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachotaka kukuambia ni kwamba kipindi unaanzisha mahusiano na huyu binti mazingira yanaonesha alikuwa ana mahusiano na mwanaume Mwingine ww kwako alikuwa kama mpitaji mambo yalipobuma amerudi kwakoMiezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia ,naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine
Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
Poa mkuuNinachotaka kukuambia ni kwamba kipindi unaanzisha mahusiano na huyu binti mazingira yanaonesha alikuwa ana mahusiano na mwanaume Mwingine ww kwako alikuwa kama mpitaji mambo yalipobuma amerudi kwako
Ushauli wangu kwako broo huyo demu huyo demu mrudie kwa lengo tuu moja nalo ni kumgonga basi baada ya hapo piga chini tuu
Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi, licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa.
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi.
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa.
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea.
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia, naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine.
Namjibu hamna ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko.
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
Mleta mada go for number 2.Wew ni lijinga, hukuwa na haja yakuleta thread hapa ya kulia lia zaid ya kuleta mrejesho baada ya kumfanyia maamuzi ya kiume, yaan fanys jambo mpka shetan akae chini ashangae,(1) muite geto mwambie unampenda mpakie mkongo na mlie supu ya pweza, then mchezeshe ndomboro siku nzma, then mteme mkatae kabsa,
.2)muite geto then akija mchezee weeeee mpka akainike alafu mwambie ''siwez fanya uchafu na mwanamke malaya" mtimue nje na nguo zake..utakuja kunishukuru
3)...Mpandie hewan mwambie aache upumbav hakuna majarbio ktk mapenz kama alikuweka we kama sehem ya majarbio il apate kuujua msimamo wako bas msimamo wako uwe HUMTAKI!!! acha uogaa we kijana mdogo we kijanaa mdogooo.......mfanyie kati ya haya mambo na ulete mrejesho acha kuwa mwepes kwa madem, najua hapo ushaanza kushoboka kwake