Aliondoka kwa First Class ila Karudi Kama Mzigo Kwenye Ndege

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.



Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.

Haya maisha yetu yanafikirisha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
 
Shadowing Conspiracy theories
 
= yanafikirisha

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
 
Hata ukipanda first class bado ni mzigo tu.
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…