"Aliou Sawadogo" kijana wa Burkina Faso aliyeitungua "Drone" ya Ufaransa kwa manati

Unasifia manati? Afrika bado sana!
 
Hii makala iliibwa na kuondoshwa jina langu.

Plz tuache kutenda huo uovu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230920-223030.jpg
    113.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230920-223237.jpg
    106.4 KB · Views: 4
Tunajifunza kutokana na Makosa. Hayakusemwa ni Makosa ya nani, yaweza kuwa ya kwetu au ya wengine.

Muhimu ni kujifunza (funzo).

Kijana alistahili zaidi ya hicho, huenda walimpatia maana taarifa zaidi kumuhusu huyo dogo zimekuwa ngumu kupatikana.
Analipiginia Taifa lake! Awe amepewa au lah ila amelinda taifa lake.
 
Analipiginia Taifa lake! Awe amepewa au lah ila amelinda taifa lake.
"Siku moja nitakuwa Mwanajeshi nitakayelinda rangi zote za Taifa langu" Aliou Sawadogo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-113452.jpg
    88.2 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…