Alipanda mpaka mnara lakini wapi! Unafikiri anaandaliwa kwa cheo kingine au ndiyo imetoka hiyo?

Alipanda mpaka mnara lakini wapi! Unafikiri anaandaliwa kwa cheo kingine au ndiyo imetoka hiyo?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Nyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

napeee.jpg
napeeee.jpg

Wanasema eti kapanda na kushuka :KEKLaugh:

Vimbwanga vimepamba moto jamani, ila hata baada ya kufanya maigizo yote hayo na karate bado kuna mtu kaangukia pua tena kachinjiwa baharini mbele ya hadhara.:KEKLaugh::BearLaugh:

Ni huzuni!
 
Hao unaowazomea wamezaliwa ndani ya CCM, maisha yao yote hata kusoma kwao kote ni kutokana na mirija ya CCM. Hao ni tofauti na kina Byabato au Luhaga Mpina, mizizi yao ipo ndani kabisa huko kwenye inner circle, usiwacheke ukadhani wanapotea, hao ndio kwanza kwaa umri wao shughuli inaanza, miezi 2-3 wanaanza piga deal za hela ndefu wakiwa uraiani, yani kilaini tu.

Usimuone Sheta chizi anavyompambania mwanae, huyo mtoto 30years to come atakuwa hashikiki ndani ya chama, awe na cheo asiwe na cheo maisha ni yale yale.

Kupanga ni kuchagua.
 
Nyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3048711View attachment 3048716
Wanasema eti kapanda na kushuka :KEKLaugh:

Vimbwa vimepamba moto jamani, ila hata baada ya kufanya maigizo yote hayo na karate bado kuna mtu kaangukia pua tena kachinjiwa baharini mbele ya hadhara.:KEKLaugh::BearLaugh:

Ni huzuni!
Dunia haina huruma !!!!!!!!!!!!
 
Nyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3048711View attachment 3048716
Wanasema eti kapanda na kushuka :KEKLaugh:

Vimbwa vimepamba moto jamani, ila hata baada ya kufanya maigizo yote hayo na karate bado kuna mtu kaangukia pua tena kachinjiwa baharini mbele ya hadhara.:KEKLaugh::BearLaugh:

Ni huzuni!
Nape Nnauye ni aibu kwa taifa
 
Hao unaowazomea wamezaliwa ndani ya CCM, maisha yao yote hata kusoma kwao kote ni kutokana na mirija ya CCM. Hao ni tofauti na kina Byabato au Luhaga Mpina, mizizi yao ipo ndani kabisa huko kwenye inner circle, usiwacheke ukadhani wanapotea, hao ndio kwanza kwaa umri wao shughuli inaanza, miezi 2-3 wanaanza piga deal za hela ndefu wakiwa uraiani, yani kilaini tu.

Usimuone Sheta chizi anavyompambania mwanae, huyo mtoto 30years to come atakuwa hashikiki ndani ya chama, awe na cheo asiwe na cheo maisha ni yale yale.

Kupanga ni kuchagua.
Kwshiyo chawa wa Nape ndio unajipa moyo?:KEKLaugh:
 
Back
Top Bottom