Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Dunia haina huruma !!!!!!!!!!!!Nyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Vimbwa vimepamba moto jamani, ila hata baada ya kufanya maigizo yote hayo na karate bado kuna mtu kaangukia pua tena kachinjiwa baharini mbele ya hadhara.
Ni huzuni!
Hapo Nape alikuwa kwenye jaribio la kujiua, na alitaka kujimaliza akiwa Waziri, bahati mbaya au nzuri wenzake wamemuwahi, sasa atajinyonga akiwa kama mbunge mwizi wa kura.Hivi Waziri anapanda huko juu kufanya nini?
Mbona amefanana na Profesa Mwandosya?Hapo anajishangaa aliwezaje kupata F ya somo la uraia kidato cha nne.View attachment 3048752
Inasemekana ndiye dingi wake halisi. Mwenye picha ya huyo polofesa aiweke tuthaminisheMbona amefanana na Profesa Mwandosya?
Wazee wazamani walikuwa wanachapiana wakezao sana!Inasemekana ndiye dingi wake halisi. Mwenye picha ya huyo polofesa aiweke tuthaminishe
Au ni baba ake😂Mbona amefanana na Profesa Mwandosya?
Kitanda hakizai haramuWazee wazamani walikuwa wanachapiana wakezao sana!
Lile tumbo lingepasuka na minyoo yote anayofuga humo ingepata uhuru.Imagine angetumbuliwa wakati anapanda mnara
Nape Nnauye ni aibu kwa taifaNyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Vimbwa vimepamba moto jamani, ila hata baada ya kufanya maigizo yote hayo na karate bado kuna mtu kaangukia pua tena kachinjiwa baharini mbele ya hadhara.
Ni huzuni!
Kwahiyo unataka kusemaje Mkuu?Nchimbi ndio KM usisahau hilo 🐼
Kwshiyo chawa wa Nape ndio unajipa moyo?Hao unaowazomea wamezaliwa ndani ya CCM, maisha yao yote hata kusoma kwao kote ni kutokana na mirija ya CCM. Hao ni tofauti na kina Byabato au Luhaga Mpina, mizizi yao ipo ndani kabisa huko kwenye inner circle, usiwacheke ukadhani wanapotea, hao ndio kwanza kwaa umri wao shughuli inaanza, miezi 2-3 wanaanza piga deal za hela ndefu wakiwa uraiani, yani kilaini tu.
Usimuone Sheta chizi anavyompambania mwanae, huyo mtoto 30years to come atakuwa hashikiki ndani ya chama, awe na cheo asiwe na cheo maisha ni yale yale.
Kupanga ni kuchagua.
Kuangalia kama mkeka unaenda vizuriHivi Waziri anapanda huko juu kufanya nini?