Alipanda mpaka mnara lakini wapi! Unafikiri anaandaliwa kwa cheo kingine au ndiyo imetoka hiyo?

Kwshiyo chawa wa Nape ndio unajipa moyo?
sina uchawa wala dalili ya uchawa, nmeongea uhalisia, na huo ndio uhalisia wa mambo. hawa vijana waliozaliwa ndani ya chama ni ngumu sana kuwatoa kwenye reli. watakaa pembeni tu kama mzazi anavyomkanya mtoto, ila ni swala la muda tu watarudi kwenye game as if nothing happened.
 
Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Haina tofauti na biashara, kuna mashindano (competition) tu.

Mnaposhindana, shindaneni kwenye mema.
 
Yupo ngazi ya kwanza ana sweat na kuuma mdomo ni igizo tu
 
Hilo soko la Kashai sijui kama litajengwa kweli maana alitegemea kuyakamua makapuni ya simu sasa ndiyo kama vile tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…