Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nchi imeuzwa wapi na kwa nani? Kwa shillingi ngapi?
Nilifikiri siku hizi umerudiwa akili kumbe bado !.Unajitoa fahamu?
Kama huelewi kwa kusikia hata kuona huwezi kuona ?!Sasa nchi imeuzwa wapi na kwa nani? Kwa shillingi ngapi?
Wewe umekariri ujinga tu!! Nitajie sehemu iliyouzwa uweke na Certificate of Title hapaUnajitoa fahamu?
Hawakufutahia, waliunga mkono msimamo wake ila walimuita LING'OMBE TU kwa sababu ya kuomba msamaha bila kosa lolote.
Kwani maana ya kuuza ni nini? Ukiuza kitu unahamisha miliki!! Kinyume cha hapo hujauza. Aidha umeazimisha au umekodishaUnataka iuzwe kama peremende ndio uone imeuzwa?