Kwa vipi?. Fafanua kidogo tufaidike.Makabila sio ya kupuuza na ukitaka uinjoi oa mrangi,mpare au mu Arusha itakuwa ni maisha ya Raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vipi?. Fafanua kidogo tufaidike.Makabila sio ya kupuuza na ukitaka uinjoi oa mrangi,mpare au mu Arusha itakuwa ni maisha ya Raha sana
Unataka kusema nini, alivyozikwa Lupaso ile siyo nyumba? Acha kuishi kwa hisia, hiyo nyumba ya Moshi we unaifahamu ilipo. Acha uwongo na upotoshaji. Tunajua ana mjengo Lushoto, kokote unaweza kujenga. We kaoe huyo mshamba mwenzio. Point ni kwamba acheni ukabila, we unaoa mwanamke siyo kabilaUliza
Mkapa kwao hata kibanda cha kueleweka hajajenga ila nenda moshi alivyoshusha mijengo kwa mke wake
Waha jeWasakuma,waha,wanyakyusa,wazaramo bila kuwasahau ndugu zetu wapemba aise ukioa hayamakabila kazi unayo
Hasahasa wasukuma tenq ukiwa mjini wanakuja kama saba hivi tena wanabebana na majamaa zao wanakuja kukaa hata wiki.
Na wanapeleka msosi ni balaa.
Hata binamu yangu mmoja alifanya hivi kwa hao ndugu wa mke. Alipoona kero limezidi siku moja alipiga maji yake ya kutosha (alikuwa mlevi hasa) na alipofika nyumbani aliwasema sana na kuwaambia kesho yake asione mtu hapo. Ndugu wa mke walichukia sana lakini walikata kwenda pale.Hapo tatizo sio kabila bali ni huyo mwanamme au mwanamme mimi yaliwahi kumkuta bro ila bro aliamua kusimamia uhalisia wake akamwambia mke wake "nakupenda mke wangu na nna penda ndugu zako naomba mazoea yapungue kidg" alivoona mkewe hajafikisha ujumbe kwa ndgu zake akawachana live. Japo walimaind mwanz lakn now mamb n muswano
Hilo kabila lazima watakuwa WakereweNi kijana mdogo tunafahamiana kazini, Hunitazamia kama kaka yake na pindi anapokuwa kwenye changamoto kadhaa za kimaisha hupenda kunishirikisha
Kijana kaoa binti nisingependa kulitaja kabila ili kupunguza presha kwa wenye kabila lao
Ni kwamba ndugu wamekuwa wanajazana mno nyumbani kwao, Mbaya zaidi wengine wanakuja kwa kupishana leo anaondoka flani asubuhi, baada ya muda mfupi mwengine anafika,
Kijana analalamika haikuwa hivyo uchumbani lakini kaanza kuyaona baada ya ndoa, kwake imekuwa kero kwasababu ni mtu asiependa kampani ya watu wengi anapokuwa nyumbani,
Analalamika unajua sikutegemea haya, Privacy imepotea, Ndugu wa mke wanaharibu ratiba, wanaharibu bajeti, hawachangii matumizi, wamemshika mke kichwa, n.k.
Kuwachana live ndugu wa mke sio jambo rahisi, Akimwambia mke awaambie anasema wao ndio maisha yao hawezi.
Mwisho kabisa nimempa wazo la mkakati kabambe wa kutokomeza kijiji kistaarabu kabisa, Kuwa target kwa kutumia udhaifu wao, hawapendi kujishughulisha, hivyo wasichopenda ni kazi na ndicho watachopewa
Nilipomuuliza ni vipi hakutegemea hayo wakati kaoa binti wa kabila husika jibu lake liliniacha hoi, kwamba alidhani siku hizi mambo hayo yalishapitwa na wakati na binti aliemuoa ni msomi wote wamefika chuo.
Nitoe rai kwa vijana wengine, msipuuze haya mambo, mfano ukiambiwa kabila flani ni wasumbufu ukikosa pesa, kabila flani hawapendi nyumba iwe na ndugu wa mume, kabila flan wanajazana, n.k. usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania kuwa waoga haimaanishi ni wote ila ukitekwa tegemea kukosa msaada wa wapita njia, basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine.
Ile ni kibanda TuU
Unataka kusema nini, alivyozikwa Lupaso ile siyo nyumba? Acha kuishi kwa hisia, hiyo nyumba ya Moshi we unaifahamu ilipo. Acha uwongo na upotoshaji. Tunajua ana mjengo Lushoto, kokote unaweza kujenga. We kaoe huyo mshamba mwenzio. Point ni kwamba acheni ukabila, we unaoa mwanamke siyo kabila
Mkuu kamata hata tenda ya kufanya usafi kwa majirani nguvu kazi ni wao.Kinondoni hakuna mashamba
Lakini wanyakyusa sio wavivuDemu atakuwa mnyakyusa
PoleeNdo natafuta mke 😎
Ana gubu🤣Ila mdomo sasa🤭
Sioi mrangi, mpare wala muarusha kila mwanaume ana sampuli zake wewe elewa hivyo tu kuna Wanaume hatupendi bughuza na makelele makelele tunataka tuishi maisha marefu mpaka 99 o'clock kuelekea 100 sio unaoa mtu unafika 40 kongosho linasumbua ukiulizwa msongamano wa mawazo pressure nayo balaaMakabila sio ya kupuuza na ukitaka uinjoi oa mrangi,mpare au mu Arusha itakuwa ni maisha ya Raha sana
Nani kakataa wageni acheni kurundikana kwa ndugu tafuteni vyenu.Kukataa wageni nidalili ya umasikini.
Mimi naishi kwangu, na nikioa sintokataa wageni.Nani kakataa wageni acheni kurundikana kwa ndugu tafuteni vyenu.
Acha kujificha kwenye kichaka cha kukataa ndugu.
Babu umejiandaaje ukioa sehemu halafu ukoo mzima wa mkeo unahamia kwako?Mimi naishi kwangu, na nikioa sintokataa wageni.
We bado mtoto mdogo haujabanwa na majukumu .Oa kwanza zaa watoto watano ishi mjini halafu kazi yako yakuungaunga halafu waje ndugu wa mke kama saba wakae kama mwezi.Mimi naishi kwangu, na nikioa sintokataa wage
Ongezea wanaokula kilo 3 kila mmoja kwa 3 × 7 = 21 kwa siku piga mara 30 utapata kilo ngapi? Ana mashamba mangapi hapo alipo?halafu waje ndugu wa mke kama saba wakae kama mwezi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ataanza kutembea anaongea mwenyewe.Ongezea wanaokula kilo 3 kila mmoja kwa 3 × 7 = 21 kwa siku piga mara 30 utapata kilo ngapi? Ana mashamba mangapi hapo alipo?