johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika