Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ingieni mtaani mkutane na wenzenu waliovurugika zaidi yenuNadhani watu wamechoka kuvumilia. Usione watu wapo kimya kitaa. Wanaugulia moyoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingieni mtaani mkutane na wenzenu waliovurugika zaidi yenuNadhani watu wamechoka kuvumilia. Usione watu wapo kimya kitaa. Wanaugulia moyoni.
Upuuzi, mtupu, kila tukio linakuja na ukubwa wake, Steve Biko, Chris han, hawa wote walipigania Uhuru wa South Afrika, na waliumizwa Sana na kuuwawa, lakini, ni, Mandela ndio anajulikana kama Baba wa taifa wa South Africa,Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
Akili yako inakwambia haya ni mambo ya kawaida, na hakuna sababu ya kutaka kuyakomesha!Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
Suala si wangapi wameuawa ndipo kelele zikaanza, suala ni kuwa haya mayukio imeonekana yamekuwa sehemu ya maisha ya kawaida katika Taifa, na gapa ndipo wananchi wanapofikia ukomo wa uvumilivu wao na kutaka Majibu kwa kuwa muda wa kusubilia pasipo kuwa na majibu na ukomeshwaji wa matukio haya ndo unasleta Tofauti ya hali ya sasa . Tusipende kutoa malinganisho kwa kila jambo kuficha udhaifu . Hatua zinatakiwa kuchukuliwa na zionekane zinaleta Tofauti.Uchunguzi umekuwa kama ahadi ya Yesu kurudi.
Alipouawa Mwangosi Waandishi wa Habari walimfukuza Waziri Nchimbi pale Jangwani lakini nyie sikumbuki mlifanya nini 🐼Jo ukitumia pombe chafu unatoaga boko sana humu.
Duh!Nakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Full stop. Kila kinachotakiwa kusemwa umesema.Suala si wangapi wameuawa ndipo kelele zikaanza, suala ni kuwa haya mayukio imeonekana yamekuwa sehemu ya maisha ya kawaida katika Taifa, na gapa ndipo wananchi wanapofikia ukomo wa uvumilivu wao na kutaka Majibu kwa kuwa muda wa kusubilia pasipo kuwa na majibu na ukomeshwaji wa matukio haya ndo unasleta Tofauti ya hali ya sasa . Tusipende kutoa malinganisho kwa kila jambo kuficha udhaifu . Hatua zinatakiwa kuchukuliwa na zionekane zinaleta Tofauti.
Na kwamba Vifo hawa mashujaa vilipta tu kama Vifo vya Kawaida kule South Africa, Kifo cha Mpigania Uhuru mashuhuri mwisho kuelekea Uhuru kilikuwa cha Chris Hani mwaka 1993 , mtu asikudanganye palitokea maandamano makubwa na Vurugu za wananchi hasa kule kwenye Mitaa ya Soweto na kilivuta laana kutoka kila pembe ya Dunia na Kifo chake hili kilichangia kuharakisha kuundwa kwa Seriklai ya Mseto na kuelekea kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Kwanza mwaka 1994 ambao ulileta ushindi kwa ANC na kupatikana kwa Uhuru. Kwa hiyo Vifo vingine siyo vya Kawaida na Historia ni Shahidi mzuri. Tusijotoe ufahamu katika malinganisho yetu na kuona kuondoka kwa Uhai wa wenzetu ni vitu vya kawaida. Tunapaswa kuvilaani kwa nguvu zetu zote na kutafuta namna ya kuvikomesha. Tusisubilie Mpaka tuwe na Masikio ya Kufa ambayo hayasikiagi DawaUpuuzi, mtupu, kila tukio linakuja na ukubwa wake, Steve Biko, Chris han, hawa wote walipigania Uhuru wa South Afrika, na waliumizwa Sana na kuuwawa, lakini, ni, Mandela ndio anajulikana kama Baba wa taifa wa South Africa,
Hakuna conspiracy theory ni vitu vya kawaida,
Hawana lolote sema wamekutana na wananchi wenu waoga waogaIngieni mtaani mkutane na wenzenu waliovurugika zaidi yenu
Wewe Mwenyewe mnafiki...Nakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Hoja ni Kwamba hata sasa nguvu ya kumtafuta Soka mmeipunguza sana 🐼Akili yako inakwambia haya ni mambo ya kawaida, na hakuna sababu ya kutaka kuyakomesha!
Acha yawe ya kawaida kwako na wenzako wenye akili za aina zenu; msitake na wengine wawe na akili za aina hiyo.
Shida yako na hao wenzako ni ipi hayo yakikataliwa leo au kesho!
Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu 😀Duh!
Hujui hata "unafiki" maana yake ni nini? Kuna mtu mnafiki zaidi yako humu JF; labda yule mwenzio Paskal ndiye unayeweza kushindana naye ligi ya unafiki.
Basi nendeni mka import wakenya waje wawasaidie ma keyboard warriors......kule rombo hamna kitu watu wana import mabao ya kenya,,,,,,wamasai wa huku nao ndo heeee watu waka import masai wa kenya haya sasa maandamano nendeni mka import gen Z ya kenya maana hii ya bongo wanachojua ni kusambaza uti sugu tuHawana lolote sema wamekutana na wananchi wenu waoga waoga
Imekuwa too much aisee, mpaka wanaohisiwa kufanya hayo matukio wanatajwa lakini hakuna hatua za kisheria zinazochukuliwa. Hii inaonyesha usalama wa Wananchi haupo salama. Na rais ndiye mkui wa vyombo vya ulinzi na usalama. Na leo anakuja anaongea maneno mepesi mepesi as if watu wanavyotekwa na kuuwawa ni kama sio binadamu.Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
We ni mnafiki mnoooNakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Nani hao wameipunguza. Hujui hilo ni jukumu la nani?Hoja ni Kwamba hata sasa nguvu ya kumtafuta Soka mmeipunguza sana 🐼