Mipasho ile ile inayokuweka hapa, JF, tokea May 27, 2014; na unafikiri ndio mchango wa maana kubwa toka kwako.Hicho chama ni Mali ya Mtei na mh Mbilinyi aka Sugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipasho ile ile inayokuweka hapa, JF, tokea May 27, 2014; na unafikiri ndio mchango wa maana kubwa toka kwako.Hicho chama ni Mali ya Mtei na mh Mbilinyi aka Sugu
Inasikitisha mkuu wa nchi kuwa na fikra za namna ile. Kadhihirisha pasi ya shaka kwamba kichwani kuna upungufu mkubwa. Ange fuata ushauri wake ule ule wa kunyamaza ingekuwa nafuu zaidi.Kwa hiyo anapendelea na kupendekeza nani akiuawa ndiyo watu wachachamae?Ni jambo jepesi tu.Achague hata watatu ila asiache na watoto wake.
Pimbi ni.........Angalia hii pimbi...Mwangosi na Mawazo wameuliwa wakati wa JK ambaye ni mvaa kobazi
Unaweza kukubali kuachishwa kazi kizembe kweli, ugali wa watoto wake maza kaona autetee hata ungekua wewe ungekubaliNi kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Shida unakuja pale viongozi walipokubali kusitisha maandamano ya UKUTA maana huku nje raia tulikuwa tupo tayari .Hahaha, Hii comment imenikumbusha siku chache kabla ya maandamano ya UKUTA. Ule mkwara online na kwenye keyboard hata majirani hawakuamini kilichotokea siku ya tukio.
Post bora kabisa 😍😍Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Mkuu utaiongoza battalion ya kutokea barabara gani siku ya maandamano yetu S23 ?!! 🤣Umeandika uzi mzuri sana. Vipi waliomuua Mawazo kesi yao inaendelea vipi? Vipi waliomshambulia Lissu kesi inaendaje?
Tusubiri wafe wengine ndio tupaze sauti?
Vipaumbele vya viongozi binafsi nje ya msimamo wa chama kwa ajili ya wanachama ni nini? Hili jibu ndo lilighairisha yale maandamano.Shida unakuja pale viongozi walipokubali kusitisha maandamano ya UKUTA maana huku nje raia tulikuwa tupo tayari .
Na maamzi yale yalipelekea CHADEMA kuwa chama cha kuomba haki zake , tatizo hili linakutesa chama . Kama kweli wapo kwa masilahi mapana ya taifa viongozi wa chadema hawapaswi kurudi nyuma kwenye maamzi ya trh 11
😍Nakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Yule alikuwa mgalatia mwenzao hawawezi kusema kitu, huyu ni muislam, wanamsema vibaya kwa uislam wake tu
Nakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Bro mnafiki sana wewe na unajulikana Kwa Hilo, huna mchango wowote zaidi ya uchawaNakukera Kwa sababu sipendagi unafiki 🐼
Acha ujuha wewe chawa mtiifu. Matukio yote hayo yalianza na watu wakawa watulivu kutafuta amani. Sasa kwa mfululizo wa matukio ya utekaji wa sasa na mauaji haya lazima watu wapaze sauti kupinga uovu huu. Maana yanazidi kutokea na serikali kupitia wizara husika ni kama haziwajibiki kudhibiti hali hii. Kitu kinachopelekea watu waaminio kwamba serikali inahusika kwenye uovu huu.Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Mnafiki mkubwa sana huyu. Ccm yupo na Chadema yupo. Mnafiki mkubwaBro mnafiki sana wewe na unajulikana Kwa Hilo, huna mchango wowote zaidi ya uchawa
Kuna kitu kinaitwa accumulative provocations.Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika