Aliuawa Mwangosi haikusemwa Rais Must Go, akauawa Mawazo haikusemwa Rais Must Go na hata alivyoshambuliwa Lissu. Nadhani Hoja iko hapo!

Aliuawa Mwangosi haikusemwa Rais Must Go, akauawa Mawazo haikusemwa Rais Must Go na hata alivyoshambuliwa Lissu. Nadhani Hoja iko hapo!

Kwa hiyo anapendelea na kupendekeza nani akiuawa ndiyo watu wachachamae?Ni jambo jepesi tu.Achague hata watatu ila asiache na watoto wake.
Inasikitisha mkuu wa nchi kuwa na fikra za namna ile. Kadhihirisha pasi ya shaka kwamba kichwani kuna upungufu mkubwa. Ange fuata ushauri wake ule ule wa kunyamaza ingekuwa nafuu zaidi.
 
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Unaweza kukubali kuachishwa kazi kizembe kweli, ugali wa watoto wake maza kaona autetee hata ungekua wewe ungekubali
 
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

Times change. No more experiments.Kama mtu hakui na kujifunza, huwa inatokea nini? Worldover, that is the price all leaders pay, when shit happens
 
Hahaha, Hii comment imenikumbusha siku chache kabla ya maandamano ya UKUTA. Ule mkwara online na kwenye keyboard hata majirani hawakuamini kilichotokea siku ya tukio.
Shida unakuja pale viongozi walipokubali kusitisha maandamano ya UKUTA maana huku nje raia tulikuwa tupo tayari .

Na maamzi yale yalipelekea CHADEMA kuwa chama cha kuomba haki zake , tatizo hili linakutesa chama . Kama kweli wapo kwa masilahi mapana ya taifa viongozi wa chadema hawapaswi kurudi nyuma kwenye maamzi ya trh 11
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Umeandika uzi mzuri sana. Vipi waliomuua Mawazo kesi yao inaendelea vipi? Vipi waliomshambulia Lissu kesi inaendaje?

Tusubiri wafe wengine ndio tupaze sauti?
 
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Post bora kabisa 😍😍

Maua yako hayooo 🎷🎸🎤
 
Umeandika uzi mzuri sana. Vipi waliomuua Mawazo kesi yao inaendelea vipi? Vipi waliomshambulia Lissu kesi inaendaje?

Tusubiri wafe wengine ndio tupaze sauti?
Mkuu utaiongoza battalion ya kutokea barabara gani siku ya maandamano yetu S23 ?!! 🤣
 
Shida unakuja pale viongozi walipokubali kusitisha maandamano ya UKUTA maana huku nje raia tulikuwa tupo tayari .

Na maamzi yale yalipelekea CHADEMA kuwa chama cha kuomba haki zake , tatizo hili linakutesa chama . Kama kweli wapo kwa masilahi mapana ya taifa viongozi wa chadema hawapaswi kurudi nyuma kwenye maamzi ya trh 11
Vipaumbele vya viongozi binafsi nje ya msimamo wa chama kwa ajili ya wanachama ni nini? Hili jibu ndo lilighairisha yale maandamano.
 
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Acha ujuha wewe chawa mtiifu. Matukio yote hayo yalianza na watu wakawa watulivu kutafuta amani. Sasa kwa mfululizo wa matukio ya utekaji wa sasa na mauaji haya lazima watu wapaze sauti kupinga uovu huu. Maana yanazidi kutokea na serikali kupitia wizara husika ni kama haziwajibiki kudhibiti hali hii. Kitu kinachopelekea watu waaminio kwamba serikali inahusika kwenye uovu huu.
 
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Kuna kitu kinaitwa accumulative provocations.
 
Back
Top Bottom