Aliuawa Mwangosi haikusemwa Rais Must Go, akauawa Mawazo haikusemwa Rais Must Go na hata alivyoshambuliwa Lissu. Nadhani Hoja iko hapo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji

Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo

Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima

Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?

Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"

Ahsanteni

Mlale Unono 🐼

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
 

Ulitaka wauwawe wangapi ndiyo iwe 'must go'?
 
Wewe ni mpuuzi sana na unakera sana jo
 
Jo ukitumia pombe chafu unatoaga boko sana humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…