Kwenye damu ya Ally iliyomwagika, na mateso waliyoyaoata waliotrkwa, Msigwa ana sehemu yake. Damu hii, Msigwa naye atailipia.Msigwa ameiingiza CCM kwenye mtego mbaya sana
.Kwenye damu ya Ally iliyomwagika, na mateso waliyoyaoata waliotrkwa, Msigwa ana sehemu yake. Damu hii, Msigwa naye atailipia.
Jisemee nafsi yakoNadhani watu wamechoka kuvumilia. Usione watu wapo kimya kitaa. Wanaugulia moyoni.
Yule mzee kama haku calm down , alikuwa anaondolewa kimasikhara ikulu na hao madogo.Ni kawaida,
Ilianzia hapo tu Jirani " Ruto must go",
Inakuja na huku.
Nadhani baba yako na mzee kibao wangekufa siku moja ungeacha msib awa baba yako ukaenda kumzika KibaoUlitaka wauwawe wangapi ndiyo iwe 'must go'?
IdiotNadhani baba yako na mzee kibao wangekufa siku moja ungeacha msib awa baba yako ukaenda kumzika Kibao
stupidIdiot
Reasoning ya hovyo sana hii, so ulitaka iweje maana hata hao waliouwawa unawataja kana kwamba walistahili kufa. Nakuombea wewe ufe haraka, huenda unaona kuuwawa kikatili ni haki ya watanzania, Ufe mapema broNi kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Unaelewa nini maana ya Rais must go?Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Hii ni kauli mbiu ........wameweka mtego na wewe umeingia mzima. Raisi must go -Kupitia kupiga kura kwa wingi hapo 2025.....kuepusha ili balaa la utekaji 😀 😀Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
UhainiUnaelewa nini maana ya Rais must go?
Anza kutumia akiliUhaini
CHADEMA wana udini?Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono 🐼
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Bora wanao ongea kuliko wakimya.Nadhani watu wamechoka kuvumilia. Usione watu wapo kimya kitaa. Wanaugulia moyoni.
Bwashee Dini siyo Jina😀CHADEMA wana udini?
Kwamba , akiuawa wa dini fulani wanakaa kimya ila dini hii wamekuwa wakali?
Sawa mtumishi , mimi nimefunzwa vibaya.Bwashee Dini siyo Jina😀