sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Naanza hivi kwa uhalisia kabisa Nina hakika abilia wanao TUMIA kusafiri wa ngani wengi wenu mnaonekana ni wasomi na ni watu wenye uhakika wa kielemu na kipato.
Nanajua kabisa yawezekana haiwezekani RUBANI wa ndege anaweza kuwa na kiwango Cha elimu ila sio Cha Darasa la Saba hasa la Saba ya Tanzania sio kabisa na haiwezekani
Msomaji wangu najua unajua yakuwa madereva wengi wa mabasi ya Tanzania sio lazima UFIKE hata kidato Cha SITA yaani hata Darasa la Saba wewe unaendesha ndinga ukitaka kuamini nenda usafiri mabasi kama ya capriconi ndo utanielewa
Swali linakuja inakuaje Ally Kibao alishushwa kwenye bus na kuchukuliwa ila baada ya kushushwa yule dreva wa bus na kondakita walitoa taarifa kwa familia ya mzee ally kibao? Upeo huo waliupata wapi?
Ninajiuliza wasomi kama RUBANI wa ndege aliyokua amepanda Lema AMESHINDWA Nini kutoa TAARIFA hata mtandaoni yakuwa abiria wake amechukuliwa na polisi?
Mhudumu wa ndege Sina sahaka nae je abiria wote mlioshuhdia Mh Lema alishishwa mlishindwa kutoa USHIRIKIANO hata wa kutoa TAARIFA?
Ni nchi pekee ya Tanzania mijitu inayoonekanika imestabarabika na imelimika kumbe ni mijinga na mipumbavu ni heri kusafiri na bus kuliko ndege
Soma Pia: Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege
Shame on you MLIO shuhdia Lema akikamatwa na mkakaa kimnya.
Nanajua kabisa yawezekana haiwezekani RUBANI wa ndege anaweza kuwa na kiwango Cha elimu ila sio Cha Darasa la Saba hasa la Saba ya Tanzania sio kabisa na haiwezekani
Msomaji wangu najua unajua yakuwa madereva wengi wa mabasi ya Tanzania sio lazima UFIKE hata kidato Cha SITA yaani hata Darasa la Saba wewe unaendesha ndinga ukitaka kuamini nenda usafiri mabasi kama ya capriconi ndo utanielewa
Swali linakuja inakuaje Ally Kibao alishushwa kwenye bus na kuchukuliwa ila baada ya kushushwa yule dreva wa bus na kondakita walitoa taarifa kwa familia ya mzee ally kibao? Upeo huo waliupata wapi?
Ninajiuliza wasomi kama RUBANI wa ndege aliyokua amepanda Lema AMESHINDWA Nini kutoa TAARIFA hata mtandaoni yakuwa abiria wake amechukuliwa na polisi?
Mhudumu wa ndege Sina sahaka nae je abiria wote mlioshuhdia Mh Lema alishishwa mlishindwa kutoa USHIRIKIANO hata wa kutoa TAARIFA?
Ni nchi pekee ya Tanzania mijitu inayoonekanika imestabarabika na imelimika kumbe ni mijinga na mipumbavu ni heri kusafiri na bus kuliko ndege
Soma Pia: Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege
Shame on you MLIO shuhdia Lema akikamatwa na mkakaa kimnya.