min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mbona watanzania waliandamana na mitutu ya bunduki jana ? Hukuwaona wewe?Nimeamini Si Watanzania ni Majasiri sana Mitandaoni .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona watanzania waliandamana na mitutu ya bunduki jana ? Hukuwaona wewe?Nimeamini Si Watanzania ni Majasiri sana Mitandaoni .
HAHAH!! kweli mkuu maana nao ni Watanzania .Mbona watanzania waliandamana na mitutu ya bunduki jana ? Hukuwaona wewe?
Sasa je na ujumbe umefika , dhumuni la maandamano ni kufikisha ujumbe.HAHAH!! kweli mkuu maana nao ni Watanzania .
Hawa jamaa wametengeneza mvuto mkubwa sana, Inaongezea kitu kwenye Sera ..Sasa je na ujumbe umefika , dhumuni la maandamano ni kufikisha ujumbe.
Magomeni kwenye maandamanoNicole Mboye kakamatiwa wapi?
hahahaa kaandamana kwenye ndege? police bwanaNaanza hivi kwa uhalisia kabisa Nina hakika abilia wanao TUMIA kusafiri wa ngani wengi wenu mnaonekana ni wasomi na ni watu wenye uhakika wa kielemu na kipato.
Nanajua kabisa yawezekana haiwezekani RUBANI wa ndege anaweza kuwa na kiwango Cha elimu ila sio Cha Darasa la Saba hasa la Saba ya Tanzania sio kabisa na haiwezekani
Msomaji wangu najua unajua yakuwa madereva wengi wa mabasi ya Tanzania sio lazima UFIKE hata kidato Cha SITA yaani hata Darasa la Saba wewe unaendesha ndinga ukitaka kuamini nenda usafiri mabasi kama ya capriconi ndo utanielewa
Swali linakuja inakuaje Ally Kibao alishushwa kwenye bus na kuchukuliwa ila baada ya kushushwa yule dreva wa bus na kondakita walitoa taarifa kwa familia ya mzee ally kibao? Upeo huo waliupata wapi?
Ninajiuliza wasomi kama RUBANI wa ndege aliyokua amepanda Lema AMESHINDWA Nini kutoa TAARIFA hata mtandaoni yakuwa abiria wake amechukuliwa na polisi?
Mhudumu wa ndege Sina sahaka nae je abiria wote mlioshuhdia Mh Lema alishishwa mlishindwa kutoa USHIRIKIANO hata wa kutoa TAARIFA?
Ni nchi pekee ya Tanzania mijitu inayoonekanika imestabarabika na imelimika kumbe ni mijinga na mipumbavu ni heri kusafiri na bus kuliko ndege
Soma Pia: Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege
Shame on you MLIO shuhdia Lema akikamatwa na mkakaa kimnya.
Hujui sheria za angahahahaa kaandamana kwenye ndege? police bwana
Naona umeamua moja kwa moja kuwa chizi kamili mbele za watu. Hata ile chembe ndogo ya fahamu iliyo kuwa imebaki kichwani sasa unaitupilia mbali.Wamepuuzwa kw sababu ni vibaraka wa Mabeberu
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa!Naanza hivi kwa uhalisia kabisa Nina hakika abilia wanao TUMIA kusafiri wa ngani wengi wenu mnaonekana ni wasomi na ni watu wenye uhakika wa kielemu na kipato.
Nanajua kabisa yawezekana haiwezekani RUBANI wa ndege anaweza kuwa na kiwango Cha elimu ila sio Cha Darasa la Saba hasa la Saba ya Tanzania sio kabisa na haiwezekani
Msomaji wangu najua unajua yakuwa madereva wengi wa mabasi ya Tanzania sio lazima UFIKE hata kidato Cha SITA yaani hata Darasa la Saba wewe unaendesha ndinga ukitaka kuamini nenda usafiri mabasi kama ya capriconi ndo utanielewa
Swali linakuja inakuaje Ally Kibao alishushwa kwenye bus na kuchukuliwa ila baada ya kushushwa yule dreva wa bus na kondakita walitoa taarifa kwa familia ya mzee ally kibao? Upeo huo waliupata wapi?
Ninajiuliza wasomi kama RUBANI wa ndege aliyokua amepanda Lema AMESHINDWA Nini kutoa TAARIFA hata mtandaoni yakuwa abiria wake amechukuliwa na polisi?
Mhudumu wa ndege Sina sahaka nae je abiria wote mlioshuhdia Mh Lema alishishwa mlishindwa kutoa USHIRIKIANO hata wa kutoa TAARIFA?
Ni nchi pekee ya Tanzania mijitu inayoonekanika imestabarabika na imelimika kumbe ni mijinga na mipumbavu ni heri kusafiri na bus kuliko ndege
Soma Pia: Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege
Shame on you MLIO shuhdia Lema akikamatwa na mkakaa kimnya.