Aliye jirani na Kocha Mbovu kuwahi kutokea Taifa Stars Amunike anisaidie Kuniulizia Kwake haya Maswali yangu 11 tu tafadhali

Timu jana ilicheza kama timu ya Shule flani inayoshiriki mashindano ya Umitashumta. Nilimuonea sana huruma Mbwana Samatta kuwa ktk kundi la wachezaji waliocheza namna ile
Unajuwa ndio maana wenzetu hata wale wanaocheza first eleven EPL na wanataka kunuliwa kwa pesa nyingi utaona wanapelekwa under 21 ili wapate experiance sasa unamchukuwa mtu kama Fey Toto ambaye sio kwamba mchezaji mbaya ila unampa majukumu ambayo sio wakati wake katika stage kubwa kama ile unaweza kumuharibia maisha yake ya kimpira huyu mtoto sijui kama jana kalala maana atajiuliza maswali mimi nilidhani nimefika kumbe bado sana na baya zaidi kocha anaenda kumtoa dakika 43 sijui sio udhalilishaji huo? muite mwambie slow down cheza simply dakika chache hizo half time mtoe. Nimemuonea huruma sana jana japo kabla ya mechi nilimwambia rafiki mmoja huyu mtoto sio wa kumpanga wacha ajifunze kuangalia tu kwanza.
 
Kati ya mkude na niyonzima Yupi alibadilisha timu ya simba ikavuka robo fainali?
naona amunike ameanza kupewa maneno yale aliyopewa maximo.
Ile ni Senegal ni level nyingine sio vita fc , nkana au js soura
umewahi kumwona Amunike akicheza enzi zake?
Nimegundua walichofanya wachezaji jana ni kupunguza magoli nawapongeza sana .
Tanzania haina wachezaji wazuri zaidi ya wale waliopangwa jana .
Nyoni na Banda wikuwepo Tanzania ikifurumushwa na lesotho.
Yousef kama hakujituma mazoezini asitegemee namba
 
Hao wa Simba wangefanya nini chanya?
 
Mkude anacheza Simba miaka zaidi ya 5 lakini hakuna kocha hata mmoja wa Stars ambaye huwa anampanga
Wakati mnapewa dozi za 5 na Vita,Ahly,Mazembe Mkude ndio alicheza kiungo mchezeshaji ,je angeweza kuwazuia kina Gueye,Diatta,Ndiaye ?
 
Hao wa Simba wangefanya nini chanya?

Wangeipeleka Taifa Stars hii hadi Fainali ya AFCON 2019 hadi tungebeba na Kombe lenyewe. Waliotufungisha Jana walikuwa ni Wachezaji Wawili wa Yanga SC Faisal Salum ( Fei Toto ) na Kelvin Yondani bila kusahau na wale Wachezaji Wawili wa zamani wa Yanga SC Simon Msuva na Ramazan Kessy. Mchezaji pekee aliyetuokoa Jana alikuwa ni Kipa bora kwa sasa Afrika Mashariki kama siyo Kusini mwa Afrika Tanzania One Aishi Salum Manula anayechezea Klabu bora Afrika ya Simba Sports Club.

Je una Swali lingine?
 
Mkude anacheza Simba miaka zaidi ya 5 lakini hakuna kocha hata mmoja wa Stars ambaye huwa anampanga
Wakati mnapewa dozi za 5 na Vita,Ahly,Mazembe Mkude ndio alicheza kiungo mchezeshaji ,je angeweza kuwazuia kina Gueye,Diatta,Ndiaye ?

Mtu anayejua Mpira hawezi Kusema Kiungo Jonas Gerald Mkude ni mbaya au hafai.
 
Mahaba Niue.
 
Acha utani ,Julio na Minziro hawana leseni za CAF kuwawezesha kukaa benchi la National team! Pili km makocha wetu wana ubora unaofikiria wewe mbona hawaendi kufundisha nje ya nchi? Wanabaki hapa kwa ajira zisizokuwa na mkataba?
 
Mtu anayejua Mpira hawezi Kusema Kiungo Jonas Gerald Mkude ni mbaya au hafai.
Mkude ni average player kwa mashindano Yale!Anatamba dhidi ya Lipuli au Alliance tu, kwa National team hajawahi kung'ara hta kabla ya Amunike
 
Acha utani ,Julio na Minziro hawana leseni za CAF kuwawezesha kukaa benchi la National team! Pili km makocha wetu wana ubora unaofikiria wewe mbona hawaendi kufundisha nje ya nchi? Wanabaki hapa kwa ajira zisizokuwa na mkataba?

Wanabaki hapa kwakuwa Tanzania ni Kutamu Kiongozi. au Wewe hulijui hilo?
 
Mkude ni average player kwa mashindano Yale!Anatamba dhidi ya Lipuli au Alliance tu, kwa National team hajawahi kung'ara hta kabla ya Amunike

Naona unafanana kwa kuwa na Upeo mdogo kama alionao Kocha wako Emanuel Amunike a.k.a Bichwa Pua.
 
Tatizo lako ni mahaba kwa Simba na siyo ubovu wa kocha. Kwani mkude amecheza mechi ngapi na hatujafanya vizuri
 
Unaweza kumpa mtu mawazo uliyotaka kuyasema aandike ili na sisi tusome tuelewe.


Wewe usilete usimba wako na uyanga wako hii ni timu ya taifa majungu yako weka mfukoni Mudathir na Mkude wapi na wapi?

Mudathir anauwezo mkubwa sana kuliko mkude wako anarukaruka tu pass hazifiki mechi ya congo
 
Bao 2 tulizopigwa ni sawa na ushindi kwetu ukizingatia kipa wetu ndio alikua MAN OF THE MATCH kwasbb timu tulio cheza nayo ni COMBINE YA ULAYA ndio ilitupiga mande

*SENEGAL SQUAD*

*Goalkeepers:*

-Abdoulaye Diallo (Rennes, France)
-Alfred Gomis (Spal, Italy)
-Edouard Mendy (Reims, France)

*Defenders:*

-Kalidou Koulibaly (Napoli, Italy)
-Moussa Wague (FC Barcelona, Spain)
-Pape Abdou Cisse (Olympiacos, Greece)
-Salif Sane (Schalke,Germany)
-Youssouf Sabaly (Bordeaux,France)
-Lamine Gassama (Goztepe, Turkey)
-Saliou Ciss (Valenciennes, France)
-Cheikhou Kouyate (Crystal Palace, England)

*Midfielders:*

-Alfred Ndiaye (Malaga, Spain)
- Santy Ngom (Nancy, France)
- Idrissa Gana Gueye (Everton, England)
-Keprin Diatta (Club Brugge, Belgium)
-Pape Alioune Ndiaye (Galatasaray, Turkey)
-Sidy Sarr (Lorient, France)
-Henri Saivet (Bursaspor, Turkey)

*Forwards:*

-Ismaila Sarr (Rennes, France)
-Keita Balde (Inter Milan, Italy)
- Mbye Niang (Rennes, France)
-Moussa Konate (Amiens, France)
-Mbaye Diagne (Galatasaray, Turkey)
- Sada Thioub (Nimes, France)
-Sadio Mane (Liverpool, England)

Mungu ibarik taifa stars .......[emoji1324]‍♂
 
Mimi ni shabiki wa yanga haswaaa kwenye feitoto na himid nakubaliana nawe toto bdo kwa game km zle mara nyng akiingia dk za 70 hv 75 ndio anaonekana na himid pia sio yle wa azam kadrop sana ple nyoni, mudathir na hata mkude wangefaa nadhani nyoni ni mgonjwa hata benchi sikumuona tusilaumu sana banda pia alifaa sana badala ya mwantika sijui kocha ana nn ila kwa tshabalala kumuweka benchi gadiel labda aende mbingu ya saba arudi ndio hlo litokee tshabalala bdo sana kwa yle mtoto gadiel ana balaa kk tuweke ushabiki pembeni tuangalie maslahi mapana ya nchi narudia tena tshabalala bado sana asee anakaba kwa macho anajua kupandisha timu ila kwenye kurudippp mtihani!
 
Hakuna kitu hapoo tz mnapiga kelele ndio maana kila siku hamkosi sababu..kama wachezaji wana nidhamu mbovu..hata kama ana jua kucheza vp ni kupigwa chini..wa tz bwana alikuwepo Maximo alijitahidi sn kuitengeneza national spirit mkamsema ooh anachagua sn Yanga anapendelea lkn ndiye aliyedhubutu wa wapanga hata wachezaji wa mtibwa, mbeya city nk ilimladi tu amekidhi vigezoo
Tz haita weza kusonga kimichezo mpaka pale mashabiki watakapo ondoa usimba na uyanga..hata tim za mikoani zingekua zinashabikiwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…