Aliye jirani na Kocha Mbovu kuwahi kutokea Taifa Stars Amunike anisaidie Kuniulizia Kwake haya Maswali yangu 11 tu tafadhali

Mocha kawasaidia kuwepo katika history na bado hamjitambui ..jiulizeni in wangapi walipita na hamkupita wakati kila mwaka mlikuwa na nafasi?
 
Kuna kitu ambacho sisi wapenzi wa soka hatukijui hasa mental fitness ya kikosi. Kocha ndie anayejua kila kitu mkuu muachie.
Utovu wa nidhamu wa Kocha huyumesababisha kuwaacha MKUNDE na AJIBU.
 
We utakuwa sawa na akili za Nkamia tu,Amunike anamapungufu yake ila Tz tunamatatizo mengi kuliko Amunike, hatuna quality players,hatuna msingi wa soka......nashabiki kama wewe unamlilia mchezaji asiyejitambua kama Mkude aliyeitwa national team na kufanya mazoezi siku moja nakusingizia amecheza mechi nyingi anahitaji kupumzika,sasa Amunike angemwita wa nini?

Tz kufuzu Afcon tu inatosha kwenda kujifunza kwanza halafu tuje tujipange upya kama wenzetu waganda wenye akili walivyofanya.
 
Kwani tulishakua na mafanikio gani makubwa ili leo tuanze kumlaumu kocha.Tupunguze lawama wakati ukweli uko wazi kua uwezo wetu mdogo kila mahali zimebaki porojo tu.
Tz tumezidi unafiki na kufanya mambo kienyeji
 
Alikuwepo Mayanga,Charles bado majungu yaleyale tu,tuache unafiki
Sasa mkuu kuliko kumpa kocha kiazi mahela mengi ya mshahara sini bora tumpe hata kocha wa ndani angalau iyo hela ibaki ndani,,
Alafu makocha wa ndani sio lazima cherles,wapo wengi tu,,
 
Sasa mkuu kuliko kumpa kocha kiazi mahela mengi ya mshahara sini bora tumpe hata kocha wa ndani angalau iyo hela ibaki ndani,,
Alafu makocha wa ndani sio lazima cherles,wapo wengi tu,,
Wataje maana Kayuni,Madadi ambao ndiyo wenye leseni A tayari washakuwa na national team,shida Tz ni misingi ya mpira ni sifuri,hatuna quality players
 
Africa's Top 10 on December's Fifa rankings (global position in brackets):

  1. Senegal (23)
  2. Tunisia (26)
  3. Morocco (40)
  4. Nigeria (44)
  5. DR Congo (49)
  6. Ghana (51)
  7. Cameroon (55)
  8. Egypt (56)
  9. Burkina Faso (61)
  10. Mali (64)
 
duh,,basi mkuu ni shida sana,,
Basi tuloge,,tumtafte mtu tukamzike ufukwe wa bahari,,tutest hivyo mkuu,,yani tanatest test tu mpaka ,,ahaaaa,,!!!,
Wataje maana Kayuni,Madadi ambao ndiyo wenye leseni A tayari washakuwa na national team,shida Tz ni misingi ya mpira ni sifuri,hatuna quality players
 
I

Fact! Hao wanaomponda Amunike watuambie hao makocha waliopita waliifikisha Stars Afcon mwaka gani.
WaTz huwa hatuna uwezo wa kufikiria vizuri,tunakurupuka sana,tunasahau kwamba kufuzu kumekuja baada ya Ahamad Ahamad kubadilisha mfumo kila kundi kutoa team 2,ingekuwa mfumo wa zamani angeenda Uganda tu,kwahiyo bado sisi hatukuwa na nafasi.

Wabongo wamezoea kuwapelekesha makocha sasa Amunike haingiliki,Jana Mbunge anasema eti walikutana na Amunike kwenye korido hakuwasalimia,sasa hiyo ni akili au matope,yule ni mgeni atawajua wangapi?
 
Kocha unamsingizia tu.Kiini cha tatizo la soka letu siyo makocha.Ndo maana tunaishia kubadli makocha kila uchao lakini hakuna kinachobadilika.Hata angepanga kikosi gani isingesaidia.Mpira ni uwekezaji wa muda mrefu ndugu, hautaki bla bla...!.Shida yetu "tunasoma msuli sisimizi tukitegemea Matokeo tembo".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…