Aliye jirani na Msanii Ney wa Mitego amuulize kama ana taarifa juu ya tukio zima la Mwandishi Jamal Kashoggi?

Aliye jirani na Msanii Ney wa Mitego amuulize kama ana taarifa juu ya tukio zima la Mwandishi Jamal Kashoggi?

Niambie Mtani wangu wa ' Kihaya ' vipi hujambo? Huko Tanzania hamjambo lakini? Ndugu zako kule Kanyigo na Kamachumu wote wazima? Karibu sana hapa Kisiwani Puerto Rico Mtani!
Ahahahah, Mimi mtani sijambo, watani wako pia hawajambo sana, Sema tu njaa sana huku, Ahsante sana kunikaribisha kisiwani nikale upepo wa Bahari....
 
Dah hili dude tamu aisee,unasikiliza mpaka unasisimka,haya ndio tunayopenda kuyasikia_Ukweli Umezungumzwa
 
Huu wimbo wa Ney - Alisema sijaona shida ya kufanya Serikali kumchukulia hatua
 
Back
Top Bottom